Mbinu za kujenga maadili mema kwa watoto wako

Dar es Salaam. Katika safari ya maisha ya mtoto, makuzi ni hatua nyeti inayojengwa kwa msingi wa maadili, malezi na mazingira yanayomzunguka. Watoto wanapokua, hukutana na changamoto mbalimbali, mojawapo ikiwa ni ushawishi kutoka kwa marafiki au makundi ya wenzao. Baadhi ya makundi haya huwapeleka kwenye njia potofu kama vile wizi, matumizi ya dawa za kulevya,…

Read More

Kuigiza ukatili kunavyochochea tabia za kikatili

Dar es Salaam. Ukitafakari namna tunavyozungumzia maumivu ya watu, namna tunavyochukulia hisia zao, unaona tulivyo na tatizo kubwa la ukatili katika jamii. Kwa mfano, unaweza kusikia mtu akibeza na kufanyia mzaha maumivu ya mtu, kwa kisingizo kuwa mtu huyo amejitakia. “Mbona hakuumia? Huyu, kwa ushenzi alioufanya, alitakiwa kuumizwa zaidi. Mngemkomesha zaidi.” Unaona tunavyofikiri? Tunahalalisha maumivu…

Read More

Mfilipino alijua  kaoa,  kumbe kaolewa

Kuna kisa cha mzee wa Kifilipino aliyeolewa akidhani ameoa. Ni jamaa wa miaka kama 60 na ushei. Huyu bwana, baada ya kutua Canada, alinyakwa na mama mmoja mtu mzima aliyekwishatalikiwa. Ni mama tajiri aliyestaafu biashara ya uuzaji wa vinywaji. Kwa vile ni jirani yetu, na tunaishi kwenye mji mdogo ambapo kila mmoja anamjua mkazi wake,…

Read More

 Pesa zinavyowapa wanaume wanawake ‘rahisi’

Dar es Saalaam. Pesa ni nguvu, na nguvu ni kitu muhimu kuliko kitu chochote hapa duniani. Hata kabla ya kuanza mfumo wa pesa za karatasi tunazotumia leo, pesa zilikuwa zinatumika. Binadamu wa kale alitumia nguvu na maarifa kama pesa, ili apate chakula ilibidi atumie vitu hivyo viwili kuwinda sungura au kupanda juu ya mti kuangusha…

Read More

Unaondoaje chuki kwa mwenza wako?

Katika safari ya maisha ya ndoa au uhusiano wa kimapenzi, hakuna hisia kali kama zile zinazohusiana na upendo na chuki.  Mapenzi ni hisia inayoweza kukuinua hadi mawinguni, lakini chuki inaweza kukupeleka katika giza la hisia mbaya, kutoelewana na hata kutengana.  Lakini swali kuu ni: je, inawezekana kweli ukamchukia mwenza wako iwe ni mume au mke…

Read More

Matarajio ya Watanzania bajeti ya Serikali

Dar/mikoani. Wakati wiki hii Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2025/26 itasomwa bungeni jijini Dodoma, wadau wa kada mbalimbali wameonyesha matarajio yao huku wengi wakitabiri itajikita zaidi kwenye kugharimia uchaguzi. Sambamba na masuala ya uchaguzi, kutokana na mwaka huu kuwa wa Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais, baadhi ya wadau na wananchi wamependekeza uwekezaji…

Read More

Watu 28 wafariki ajalini Mbeya, saba wajeruhiwa

Mbeya. Watu 28 wamefariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu ikiwamo lori katika mlima Iwambi jijini Mbeya. Akithibitisha ajali hiyo, Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema ajali hiyo imetokea jana Jumamosi, Juni 6, ambapo watu 27walifariki papo hapo na majeruhi kuwahishwa Hospitali teule Ifisi iliyopo Mbalizi. Amesema katika barabara…

Read More

Zaidi ya Wafanyabiashara 3,000 wa Tanzania na Uingereza Watafuta Fursa Kupitia Tanzania Link

Zaidi ya wafanyabiashara 3,000 kutoka Tanzania na wengine zaidi ya 3,000 kutoka Uingereza wamejisajili kwenye Tanzania Link Portal, jukwaa la kidijitali linalolenga kuimarisha fursa za kiuchumi kati ya Tanzania na Uingereza kupitia ushirikiano wa biashara, uwekezaji, elimu, utalii na ajira. Tanzania Link ni ubunifu wa Watanzania watatu wanaoishi Uingereza,  Bw Goodluck Mboya, Bw Joseph Ndilla,…

Read More