Majeraha yamtibulia Kachwele Marekani | Mwanaspoti
STRAIKA wa Whitecaps FC anayecheza kwa mkopo Vancouver Whitecaps inayoshiriki Ligi Kuu Marekani (MLS), Cyprian Kachwele amesema msimu huu ameuanza vibaya baada ya kupata majeraha ya nyama za paja. Kinda huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ aliyewahi kupita timu ya vijana ya Azam FC huu ni msimu wake wa pili Marekani na uliopita akiwa…