Muhas yaja na mradi usambazaji wa bidhaa za afya

Dodoma. Jumla ya Sh2.5 bilioni kutumika kwa ajili ya kujenga uwezo katika mnyororo wa usambazaji wa bidhaa za afya utakaofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas). Lengo la mradi huo ni kutatua changamoto zinazotokana na majanga duniani zinazofanana ugonjwa wa Uviko-19 ambapo baadhi ya nchi zilifungia watu (lockdown). Mradi huo wa…

Read More

Abiria afariki dunia ajali ya bodaboda, basi

Shinyanga. Mtu mmoja amefariki dunia kutokana na ajali iliyohusisha basi la abiria na pikipiki. Aliyefariki kwenye ajali hiyo ni Amani Hamis, aliyekuwa abiria kwenye pikipiki hiyo iliyokuwa ikiendeshwa na Emmanuel Frednand. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo huku akieleza kwamba wamemebaini chanzo cha ajali hiyo kuwa ni uzembe…

Read More

Mastaa tisa Stars warudishwa kuiwahi dabi

WAKATI hatima ya Dabi ya Kariakoo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Simba ikiwa bado haifahamiki kama itachezwa au la, nyota tisa wa vigogo hivyo waliokuwa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ iliyocheza juzi usiku mechi ya kirafiki ya kimataifa na Bafana Bafana ya Afrika Kusini wamerudishwa Dar. Nyota hao walikuwa sehemu ya kikosi hicho cha…

Read More

No reforms No Election yashika mitandao, Serikali yatoa neno

Dar es Salaam. Sasa unaweza kusema kampeni maarufu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya No Reforms, No Election (Bila Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi) sasa imechukua sura mpya baada ya kutawala katika mitandao ya kijamii maarufu hapa nchini. Katika mitandao ya kijamii makundi mbalimbali yanahamasisha kupaza sauti za kampeni hiyo kwa kuchapisha ujumbe na kutoa…

Read More

Wafanyabiashara walia kufungwa mtandao wa X

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitangaza kuufungia mtandao wa X (twitter zamani) hapa nchini wafanyabiashara na wahamasishaji (infulencers) wameanza kuonja joto la jiwe. Hiyo ni baada ya biashara zilizokuwa zikifanyika katika mtandao huo kuanza kudorora huku baadhi ya kampuni zikisitisha mikataba waliyokuwa wameingia na watumiaji mbalimbali wa mtandao huo ikiwemo zile zilizohusu kampeni mbalimbali. Hivi…

Read More

Kocha JKT Tanzania aanika usajili mpya

KOCHA Mkuu wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amefichua juu ya mpango wa kuboresha kikosi katika dirisha kubwa la usajili baada ya kushindwa kufikia malengo msimu huu, huku akitaja maeneo mawili atakayoshughulika nayo ili maafande hao warudi na moto katika Ligi Kuu Bara. Maafande hao wa JKT wanaokamata nafasi ya sita katika msimamo wakiwa na pointi…

Read More

Mastar tisa Stars warudishwa kuiwahi dabi

WAKATI hatima ya Dabi ya Kariakoo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Simba ikiwa bado haifahamiki kama itachezwa au la, nyota tisa wa vigogo hivyo waliokuwa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ iliyocheza juzi usiku mechi ya kirafiki ya kimataifa na Bafana Bafana ya Afrika Kusini wamerudishwa Dar. Nyota hao walikuwa sehemu ya kikosi hicho cha…

Read More