Kaseja awaita nyota Kagera Sugar Dar
KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Juma Kaseja amewaita wachezaji wa timu hiyo haraka kambini jijini Dar es Salaam kwa maandalizi ya mechi mbili zilizosalia zitakazopigwa kati ya Juni 18 na 22. Kagera iliyoshuka daraja ikishika nafasi ya 15 katika msimamo wa Ligi Kuu kwa sasa itakuwa wageni wa Namungo Juni 18 na Kaseja ameona hakuna…