Stars Kukipiga Na Bafana Bafana usiku wa Leo

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajiwa kushuka dimbani usiku wa leo kuivaa wenyeji Bafana Bafana ya Afrika Kusini katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaopigwa kwenye Uwanja wa Peter Mokaba, mjini Polokwane, kuanzia saa 2:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Meridianbet wanakupa Odds kabambe kuelekea mchezo huu. Ingawa ni mechi ya kirafiki,…

Read More

Majaliwa: Tuzingatie sheria kwa shughuli tunazofanya, kuabudu

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wanaofanya shughuli mbalimbali ziwe za kikundi, binafsi au za umma kuzingatia sheria, ikiwemo katika kutekeleza uhuru wa kuabudu. “Tunavyokuja kuabudu, lazima tuzingatie sheria ya uhuru wa kuabudu. Katiba ya Tanzania ibara 19(3) imeweka bayana ufafanuzi wa kuabudu ilimradi hakuna uvunjifu wa amani na sheria za nchi….

Read More

Amani idumishwe kuelekea uchaguzi mkuu-Kadhi Pwani

Kibaha. Amani na mshikamano kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu ni ujumbe waliopewa waumini wa Kiislamu leo Juni 7, 2025 baada ya swala katika Msikiti wa Muuminina uliopo Mailimoja, mkoani Pwani kuadhimisha sikukuu ya Eid El -Adh’haa. Waumini hao pia wamechinja mifugo mbalimbali kwa ajili ya sadaka katika maadhimisho hayo. Akizungumza baada ya swala…

Read More

Hadithi ya Zénabou – maswala ya ulimwengu

“Siku zote nilikuwa na uzoefu chungu wa kuona watoto wengine wakienda shuleni na rucksacks zao,” anasema Zénabou wa miaka 14. “Ilikuwa inatesa kwa sababu hata nilikuwa nikichoma moto na hamu ya kujua kilichotokea katika shule ambazo watoto hawa walikwenda kila asubuhi, niligundua mapema sana kwamba ni mfumo ambao haukufanywa kwangu kwa sababu nilikuwa tofauti.” Kwa…

Read More

DKT. BITEKO AKOSHWA NA MUITIKIO KILI FAIR ARUSHA

 Na Jane Edward, Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko, amefungua rasmi maonesho ya Karibu Kili-Fair yanayofanyika katika viwanja vya Magereza – Kisongo, jijini Arusha. Dkt. Biteko amesema sekta ya utalii ni mhimili muhimu wa uchumi wa taifa kwani inachangia asilimia 7.9 ya pato la taifa na pia ni…

Read More