Mtibwa Sugar yajipanga kumrejesha Kawemba

BAADA ya Mtibwa Sugar kurejea Ligi Kuu Bara, mabingwa hao wa zamani wako katika mazungumzo ya kumhitaji Saad Kawemba ashike nafasi ya Mtendaji Mkuu wa klabu ikiamini uzoefu wake utakuwa msaada katika maeneo mbalimbali. Chanzo cha taarifa hiyo kutoka ndani ya Mtibwa, kinasema jambo hilo linafanyika chini ya uongozi wa serikali ya mkoa wa Morogoro,…

Read More

Saadun, awataja Fei Toto, Sillah

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Nassor Saadun amesema anaamini kuwa msimu ujao wa soka unaweza kuwa na neema zaidi kwake kuliko huu unaomalizika, huku akiwataja viungo washambuliaji, Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Gibril Sillah kuwa ni sehemu ya mafanikio aliyonayo. Saadun ambaye amekiri kuwa msimu huu ndio bora kwake tangu ameanza kucheza soka kutokana na mafanikio…

Read More

Yanga yaanza mkakati mpya | Mwanaspoti

YANGA inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi tatu za kufungia msimu zikiwamo mbili za Ligi Kuu Bara na moja ya Kombe la Shirikisho, huku ikiipoteza Dabi ya Kariakoo lakini mabosi wa klabu hiyo wanaendelea kufanya mambo yao kimya kimya. Ndio, mabosi hao katika kuimarisha kikosi kwa msimu ujao wa mashindano, wameanza mambo kwa kumnasa kiungo…

Read More

Diarra amaliza utata Yanga | Mwanaspoti

KIPA namba moja wa Yanga, Diarra Djigui yupo kambi ya timu ya taifa ya Mali, lakini kabla ya kuondoka nchini amemaliza utata uliokuwa ukiwavuruga mashabiki wa klabu hiyo. Diarra anayemiliki clean sheet 15 hadi sasa katika Ligi Kuu Bara anahusishwa na mipango ya kuondoka klabuni, jambo lililowafanya mabosi wa Yanga kuanza kusaka mbadala wake. Hii…

Read More

Mkuu wa Haki za UN – Maswala ya Ulimwenguni

Mr. Türk was responding to an announcement by Marco Rubio, the US Secretary of State, on Thursday, of measures targeting the judges, who are overseeing a 2020 case of alleged war crime committed in Afghanistan by US and Afghan military forces, and the 2024 ICC arrest warrants issued against Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu and…

Read More

WAAJIRIWA WAPYA TRA WAONYWA KUJIHUSISHA NA RUSHWA

 ::::::: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amewaonya waajiriwa wapya wa TRA kutojihusisha na vitendo vya Rushwa katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku na badala yake wachape kazi kwa kuzingatia maadili ya utumishi wa Umma. Akifunga mafunzo ya awali kwa waajiriwa wapya 1,896 wa TRA katika viwanja…

Read More