June 2025
Polisi Dar kuimarisha ulinzi, usalama Sikukuu ya Idd
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam limesema limejipanga kuhakikisha waumini wa Kiislamu wanashiriki na kusherehekea Sikukuu ya Eid al-Adhaa kwa amani na utulivu. Sikukuu hiyo huhusisha ibada mbalimbali katika nyumba za ibada na maeneo ya wazi. Taarifa hiyo imetolewa leo Juni 6, 2025 na Kamanda Kanda Maalumu, Jumanne Muliro na…
Waziri Dkt.Tax amkabidhi gari jipya Mkuu wa Majeshi wa Kwanza Mstaafu Jenerali Sarakikya
Na Mwandishi wetu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 06 Juni, 2025 amemkabidhi Mkuu wa Majeshi wa kwanza mstaafu Jenerali Mirisho Sam Hagai Sarakikya gari jipya la kisasa aina ya Toyota VXR nyumbani kwake Arumeru nje kidogo ya Jiji la Arusha. Akiongea muda mfupi kabla ya…
Jinsi Seaweed – na Kuzingatia kwa Mtu Mmoja – Inaweza Kuokoa Ulimwengu – Maswala ya Ulimwenguni
Lesconil, bandari ya uvuvi iliyokatwa na chumvi iliyowekwa ndani ya pwani ya Brittany, kaskazini mwa Ufaransa, husababisha polepole chini ya alfajiri ya Atlantic. Mabwawa ya mawimbi yanang’aa, kupumua na bahari-bila shida lakini kwa kilio cha bahari ya bahari na takwimu moja katika maji ya manjano, goti ndani ya msitu wa mwani. Mtu, Vincent Doumeizel, huinua…
Serikali Yataka Jamii Kujenga Utamaduni wa Kupanda Miti kwa Ajili ya Kutunza Mazingira
Na Mwandishi Wetu Serikali imetoa wito kwa jamii kujenga utamaduni wa kupanda na kutunza miti ya matunda na kivuli ili kuboresha mazingira, hususan katika Jiji la Dodoma na maeneo mengine nchini, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuikijanisha Tanzania. Wito huo umetolewa hivi karibuni na Afisa Misitu wa Wilaya ya Kondoa, Clement Kabeni, wakati wa…
Lema azuiwa kutoka nchini, Uhamiaji waeleza sababu
Dar es Salaam. Mwanasiasa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema amezuiwa katika mpaka wa Namanga alikokuwa anafanya taratibu za kusafiri kwenda Nairobi nchini Kenya. Kwa mujibu wa Lema, safari yake kwenda jijini humo, ni kwa ajili ya kufanya matibabu ya maradhi yanayomsumbua, lakini alipofika mpakani akaambiwa hawezi kusafiri. Hata hivyo, ilielezwa kuwa…
Baada ya TLP na SAU, Mgaywa aibukia ADC kuwania urais
Unguja. Mwanasiasa Mutamwega Mgaywa, baada ya kugombea urais wa Muungano mara mbili bila mafanikio kupitia vyama vya Tanzania Labour Party (TLP) na Chama cha Sauti ya Umma (SAU), sasa ameibuka kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) na tayari amechukua fomu za kugombea urais kwa tiketi ya chama hicho. Hayo yamesemwa jana Juni 5,…
WANAFUNZI 214141 WACHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI
:::::: Na Ester Maile Dodoma Jumla ya wanafunzi 214141 ikiwemo wasichana116624 wamechaguliwa kujiunga kidato cha tano na vyuo vya Elimu ya ufundi ikijumuisha na wanafunzi 1028 wenye uhitaji maalum. Haya yamebainishwa leo tarehe 6 June 2025 jijini Dodoma na Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Mohamed Mchengerwa wakati…
Chaumma yasitisha mikutano ya C4C kupisha Sikukuu ya Idd
Simiyu. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimesitisha kwa muda wa siku mbili mikutano yake ya hadhara chini ya Operesheni Chaumma For Change (C4C), ili kutoa fursa kwa viongozi na wananchi kushiriki na kusherehekea pamoja na waumini wa dini ya Kiislamu katika Sikukuu ya Idd. Hivyo, ratiba ya mikutano ya hadhara ya kuzungumza na umma…
Wizi wa miti waathiri mapambano mabadiliko ya tabianchi
Kondoa. Ofisa Mradi wa Maendeleo ya Jamii, Rajabu Rajabu, amebainisha kuwa Serikali kupitia mamlaka husika imekuwa na mchango katika jitihada za kuhifadhi mazingira, licha ya changamoto za wizi wa miti iliyopandwa na uharibifu unaosababishwa na mifugo. Kwa mujibu wa Rajabu, baadhi ya wanajamii huiba miti inayopandwa, hasa miti ya matunda, jambo ambalo husababisha maeneo hayo…