Kamati ya Jafo yafunua kichaka cha Wachina Kariakoo

Dar es Salaam. Kikosi Kazi cha utekelezaji cha Kamati ya kuchunguza raia wa kigeni wanaofanya biashara kinyume na sheria Kariakoo, kimebaini uwepo wa raia wa kigeni 183 wanaofanya biashara katika maeneo hayo kinyume na sheria. Kati ya hao, raia 135 wanatoka China, huku waliobaki wakiwa ni kutoka mataifa mengine –Kenya (5), Misri (2), India (2),…

Read More

KAMPUNI YA ORYX YAADHIMISHO SIKU YA MAZINGIRA KWA KUTOA ELIMU MATUMIZI SALAMA YA NISHATI SAFI KWA WANAFUNZI

:::::: Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Oryx Gas imewakumbusha Watanzania kuhakikisha wanaendelea kutunza mazingira kwa kuhakikisha wanatumia nishati safi ya kupikia ambayo ni rafiki wa mazingira. Akizungumza katika siku ya kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani ambapo kampuni hiyo ilimua kufanya usafi na kukabidhi vifaa vya kuhifadhi taka Shule ya Msingi Kisiwani iliyopo wilayani Kigamboni mkoani…

Read More

Vijana Tanzania wanakumbwa na changamoto ya ukosefu wa ufadhili katika taasisi zao

Dar es Salaam. Ukosefu wa fedha ni mojawapo ya changamoto kubwa zinazokwamisha ufanisi na kudumu kwa taasisi zinazotolewa na vijana. Changamoto nyingine ni masharti magumu yanayotolewa na wafadhili, ambayo mara nyingi huwa vigumu kutimizwa na taasisi hizi. Hali hii inasababisha baadhi ya taasisi kushindwa kupata ufadhili unaohitajika kwa ajili ya kuendeleza miradi na shughuli zao…

Read More

Timu ya Mlandege yatwaa ubingwa Ligi Kuu ZPL

Timu ya Mlandege imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar ZPL kwa msimu wa 2024-25 baada ya kuitandika New City mabao 4-2. Mechi hiyo imehitimisha michezo 30 ya mzunguko wa ZPL na Mlandege, alitwaa ubingwa kwa idadi ya mabao 48,katika mchezo huu Abdallah Iddi aliipatia Mlandege bao la kwanza katika dakika ya 15, na bao la…

Read More

Gari za ‘breakdown’ zinavyopiga pesa, kilio kwa wamiliki magari Dar

Dar es Salaam. Huduma ya kuvuta magari maarufu kama ‘breakdown’ imegeuka kuwa changamoto nyingine kwa wamiliki wa magari yaliyoharibika, licha ya kuwa mkombozi waliokuwa wakiitegemea katika nyakati za dharura. Magari yanapoharibika au kupata ajali suluhisho la haraka linalotegemewa na madereva wengi ni huduma ya kuvutwa na magari hayo. Miongoni mwa masuala yanayoibua changamoto ni bei…

Read More

Kufungwa kanisa la Gwajima wafanyabiashara walia ukata

Dar es Salaam. Baada ya Serikali kufuta usajili wa Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, baadhi ya wafanyabiashara jirani na kanisa lililopo Ubungo, Dar es Salaam wanakuna vichwa, wakieleza biashara zao zimeyumba. Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmmanuel Kihampa Juni 2, 2025 alitangaza kulifuta kanisa hilo akieleza limekiuka Sheria ya Jumuiya…

Read More