Hotuba ya Samia ilivyowagusa wasomi, watoa mapendekezo

Dar es Salaam. Hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 imepokewa kwa maoni mseto na wadau wakiwamo wachumi, wanasiasa na wachambuzi wa masuala ya kijamii. Baadhi wamesema ilikuwa hotuba nzuri kwa sababu aligusia maeneo takribani yote muhimu yakiwamo ya ulinzi, usalama, kijamii, kisiasa na kiuchumi. Hata hivyo, baadhi wamesema kuna…

Read More

Wataalamu watoa onyo mashindano ya kugida pombe

Dar es Salaam. Mashindano ya kugida pombe na hasa vinywaji vikali, yanaonekana kuongezeka kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii yakiwahusisha vijana. Kupitia video zinazosambaa kwenye mitandao ya Instagram na X, baadhi ya vijana huonekana wakichuana kufakamia pombe kupata mshindi anayeweza kunywa nyingi na kwa haraka zaidi. Kwa mujibu wa wataalamu waliozungumza na Mwananchi Juni 27,…

Read More

Simba, Yanga mmesikia huko? Sillah aaga Azam!

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Gibrill Sillah amewaaga mashabiki na uongozi wa timu hiyo leo kupitia ukurasa wake wa Instagram. Mgambia huyo aliyeitumikia Azam kwa misimu miwili, anamaliza mkataba alionao akiwa ameifungia klabu hiyo mabao 19, yakiwamo 11 ya msimu huu na  manane ya msimu uliopita. Sillah anayeondoka akiwa ndiye kinara wa mabao kwa msimu…

Read More

Rasmi Dube kuikosa fainali FA dhidi ya Singida BS

YANGA imethibitisha rasmi kwamba katika mchezo wa fainali dhidi ya Singida Black Stars, mshambuliaji wao, Prince Dube hatakuwepo. Mapema leo, Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi alisema bado hajawa na uhakika wa kumkosa mshambuliaji huyo, lakini sasa imethibitishwa rasmi kukosekana kwake. Katika mazoezi ya mwisho yaliyofanyika jioni ya leo kwenye Uwanja wa Aman, Dube hakuwa…

Read More

MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI

  Kada wa Chama cha Mapinduzi, CPA (T) Ruth Hassani akisaini kitabu. Kada wa Chama cha Mapinduzi, CPA (T) Ruth Hassani  ametia nia ya kuwania kuteuliwa na Chama chake kuwania Ubunge katika Jimbo la Same Mashariki, Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro. Akiwa ameambatana na Mumewe Bw. Banyinga Majeshi, CPA Ruth ambaye ni Mhasibu wa Chuo…

Read More

Rasmi Dube aikosa Singida BS

YANGA imethibitisha rasmi kwamba katika mchezo wa fainali dhidi ya Singida Black Stars, mshambuliaji wao, Prince Dube hatakuwepo. Mapema leo, Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi alisema bado hajawa na uhakika wa kumkosa mshambuliaji huyo, lakini sasa imethibitishwa rasmi kukosekana kwake. Katika mazoezi ya mwisho yaliyofanyika jioni ya leo kwenye Uwanja wa Aman, Dube hakuwa…

Read More