SERIKALI IMEDHAMIRIA KUTOA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA WANANCHI – PROF. NAGU

 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia afya Prof. Tumaini Nagu amesema Serikali imedhamiria kutoa suluhisho na kutatua kero zinazowakabili wananchi. Prof. Nagu ameyasema hayo alipotembelea katika mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Muhoro, kilichopo katika Halmashauri ya Mji wa Rufiji ambacho kumekuwa kikikumbwa na changamoto ya mafuriko ya mara kwa mara. “Kituo…

Read More

Kumuona Aziz KI? Jiandae na gharama hizi

FLORIDA, MAREKANI: KOMBE la Dunia la Klabu la Fifa mwaka huu litaweka historia mpya kwa mara ya kwanza likishirikisha klabu 32 kutoka mabara yote. Mashabiki kutoka kila kona ya dunia wanajiandaa kwa safari ya kipekee kusafiri kwenda kushuhudia michuano hiyo ya kibabe kabisa duniani. Kwa wengi, hiyo siyo tu safari ya burudani, bali pia ni…

Read More

JKT Queens yaanza na kocha

WAKATI JKT Queens ikijiandaa na mashindano ya Cecafa ili kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika imeanza marekebisho ya benchi la ufundi ikidaiwa kumalizana na kocha mkuu Ester Chabruma ‘Lunyamila’. Kocha huyo aliyehudumu kwa misimu miwili mfululizo tangu 2023 akichukua nafasi ya Ally Ally, ndiye aliyeipa ubingwa msimu huu na kulingana na Simba Queens kwa kutwaa mataji…

Read More

Makalla awasihi Watanzania kuwakataa wanasiasa wachochezi

Arumeru. Kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani, utakaofanyika Oktoba 2025, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amewataka Watanzania kuwakataa wanasiasa wachochezi wasiopenda amani. Pia, amesema kwa kutambua umuhimu wa amani, chama hicho ndiyo mwasisi wa amani na kitaendelea kulinda amani nchini kwa wivu mkubwa. Makalla ameyasema…

Read More

Miradi 100 ya utafiti na ubunifu kuwasilishwa

Dar es Salaam. Maonyesho makubwa yanatarajiwa kuonesha zaidi ya miradi 100 ya kitaaluma na ubunifu, ikiwa ni pamoja na suluhisho bunifu katika nyanja za afya, kilimo, mazingira, elimu, teknolojia ya habari, biashara, na mabadiliko ya tabianchi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm) kuanzia Juni 9 hadi 11. Miradi hiyo ni kazi za wanafunzi…

Read More