Bingwa mpya ZPL ni KVZ au Mlandege

BINGWA mpya wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) anatarajiwa kujulikana leo wakati Mlandege na KVZ zitakaposhuka viwanja viwili tofauti kusaka pointi za kufungia msimu wa ligi hiyo. Mlandege inayoongoza msimamo wa Ligi hiyo kwa tofauti na mabao ya kufunga na kufungwa ikiwa na pointi 59 kama ilizonazo KVZ, itakwaruzana na New City iliyoshuka daraja mapema kwenye…

Read More

Sheikh Twaha ahimiza wanasiasa kuhubiri amani, mshikamano

Waumini wa dini ya Kiislamu (Sunni) mkoani Morogoro wamekusanyika kwenye swala ya Eid-ul -Adh – haa iliyofanyika katika viwanja vya shule Sekondari Forest Hill Manispaa ya Morogoro katika ibada ambayo imeongozwa na Imam Abdalaah Ahmad leo Ijumaa Juni 6, 2025. Eid-ul -Adh – haa ni sikukuu inayoadhimishwa na Waislamu ulimwenguni kote kufuatia kukamilika kwa ibada…

Read More

Bosi Tume ya Umwagiliaji awapa maagizo mkandarasi, mhandisi mkoa

Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Raymond Mndolwa amemtaka mkandarasi anayejenga mradi wa umwagiliani mkoani Simiyu wa bwana na skimu ya Kasoli wilayani Bariadi kuhakikisha anazingatia viwango vya ubora unaotakiwa. Mndolwa amesema hayo jana Alhamisi, Juni 5, 2025 alipofanya ziara ya kushtukiza kujionea maendeleo ya mradi huo wenye thamani ya Sh8.02 bilioni unatarajiwa kuwanufaisha…

Read More

DC LUDEWA ATOA VYETI KWA WACHANGIAJI MADAWATI MASHULENI

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Olivanus Thomas ametoa vyeti vya shukrani na pongezi kwa wananchi na wadau mbalimbali waliochangia kutokomeza upungufu wa madawati zaidi ya 3,000 kwa shule za Msingi na Sekondari ambapo mpaka sasa madawati 1,108 yamekwisha tengenezwa. Akizungumza katika hafla hiyo mkuu huyo wa Wilaya amesema kuwa ushirikiano uliotolewa na jamii umewezesha wanafunzi…

Read More

Raha, karaha za kiafya kwa watembea pekupeku

Dar es Salaam. Kutembea pekupekuau kutembea bila viatu, ni tabia inayozidi kupata umaarufu duniani kote kutokana na faida zake za kiafya na kiakili.  Hata hivyo, kama ilivyo kwa tabia nyingi, kuna madhara yanayoweza kutokea ikiwa hakutofanywa kwa tahadhari.  Katika makala haya tutaangazia faida na madhara yanayohusiana na kutembea pekupeku. Faida za kutembea pekupeku Kutembea pekupeku…

Read More

Masoko ya kazi ya ulimwengu yaliyofungwa na ulaji wa Amerika – maswala ya ulimwengu

Inakadiriwa kuwa watu milioni 407 wanataka kazi lakini hawana moja, na kusababisha watu wengi kuchukua nafasi wanaweza kuzidiwa kwa sababu ya ukosefu wa chaguzi. Mikopo: Unsplash/Alex Kotliarskyi Maoni na Maximilian Malawista (Umoja wa Mataifa) Ijumaa, Juni 06, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Jun 06 (IPS) – Wakati Asia na Pasifiki zinaonekana…

Read More