Straika Namungo ndio basi tena!

MSHAMBULIAJI wa Namungo, Ibrahim Ali Mkoko amemaliza msimu kutokana na kufanyiwa tena upasuaji wa pili wa goti la mguu wa kulia, kutokana na mishipa yake kushindwa kupeleka damu kwa wakati sahihi. Akizungumza na Mwanaspoti, Daktari wa Namungo, Richard Yomba alisema mchezaji huyo kwa sasa hawezi kucheza tena mechi zote zilizosalia msimu huu, ingawa maendeleo yake…

Read More

Kiungo JKT aziingiza vitani Mbeya City, Mtibwa

KIUNGO mshambuliaji anayemaliza mkataba alionao na JKT Tanzania, Maka Edward ameziingiza vitani klabu zilizorejea Ligi Kuu Bara msimu ujao, Mtibwa Sugar na Mbeya City baada ya mwenyewe kuchomoa ofa ya kwenda mafunzoni katika kikosi cha sasa. Mtibwa na Mbeya City zimepanda daraja msimu huu kutokea Ligi ya Championship na tayari zimeanza maandalizi ya kufanya usajili…

Read More

Makocha Ligi ya U20 hamna baya wanangu

SOKA limepigwa hasa katika 8-Bora ya Ligi Kuu ya soka kwa Vijana wenye umri chini ya miaka 20 nchini na mvuto zaidi ulikuwa kwenye nusu fainali. Timu nne zilizoingia nusu fainali ambazo ni Azam FC, Kagera Sugar, KenGold na Fountain Gate kwa hakika zimetupa ladha sana hapa kijiweni kutokana na timu zilivyoonyesha viwango vizuri na…

Read More

Gamondi lolote linaweza kutokea | Mwanaspoti

ALIYEKUWA Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina ni miongoni mwa makocha wanaotajwa kwa ajili ya kukifundisha kikosi cha APR FC ya Rwanda kwa msimu ujao, baada ya mabingwa hao wa Ligi Kuu ya Rwanda kuachana na Mserbia Darko Novic. Gamondi aliyeifundisha Yanga kwa mafanikio makubwa, kwa sasa yupo huru baada ya kuachana na…

Read More

Madhara ya kuweka maji, soda za chupa juani

Dar es Salaam. Kuweka maji au soda za chupa juani ni tabia tunayoishuhudia hasa kwa  wachuuzi  barabarani.  Ingawa hali hii inaonekana kuwa ya kawaida na isiyo na madhara ya moja kwa moja, ripoti mbalimbali za kiafya zimeonyesha kuwa tabia hii inaweza kuwa na madhara makubwa kwa afya ya binadamu na mazingira kwa ujumla.  Maji au…

Read More

Fainali Shirikisho yarudishwa Zanzibar | Mwanaspoti

ILE Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB kati ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars, wakati wowote inaweza kurejea Zanzibar,huku tarehe ikiwa bado haijajulikana. Ikumbukwe kuwa, Fainali iliyopita kati ya Azam dhidi ya Yanga ilichezwa uwanja huo na Yanga kutetea ubingwa wake kwa mikwaju ya penalti. Taarifa kutoka ndani ya TFF ni kwamba mchakato…

Read More

KESI ZAWADI KWA ASKOFU: Mahakama yaikataa Katiba ya Kanisa

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi imeukataa Katiba ya Kanisa Anglikana Tanzania kutumika katika kesi ya mgogoro wa ardhi inayolikabili kanisa hilo. Upande wa utetezi katika kesi hiyo, kupitia shahidi wake wa pili, Katibu wa Kanisa Anglikana Tanzania, Mchungaji George Lawi, uliiomba Mahakama ipokee Katiba ya Kanisa hilo ya mwaka 1970 iliyofanyiwa marekebisho…

Read More

Simba yaipiga bao tena Yanga

HUKO mtaani mashabiki wa Yanga wanaendelea kuchekea tumboni baada ya watani wao, Simba kushindwa kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu tofauti na ile kauli mbiu yao ya ‘Hii Tunabeba’. Simba ililazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na RS Berkane ya Morocco baada ya awali kupoteza ugenini kwa mabao 2-0 katika mechi za fainali…

Read More

Mstaafu anapojiuliza Iko wapi nchi aliyoijenga mwenyewe?

Siku chache zilizopita, Mstaafu wetu alikuwa na mawasiliano na mstaafu mwenzie na kujadiliana mambo mbalimbali. Ndio, Mstaafu wetu alikuwa na mawasiliano na mstaafu huyo aliyemtumia ujumbe kumuuliza kama hii bado ni nchi yao kweli waliyojenga kwa damu na jasho lao lakini sasa inafikia hatua ya kuitana kenge ndani ya Bunge la nchi na ikaonekana ni…

Read More