MAFUNZO YA USHIRIKA YALETA MWAMKO KWA WANAUSHIRIKA WA GIDESHA AMCOS
MWENYEKITI wa GIDESHA AMCOS, Bw. Hipoliti Umbu,akitoa Pongezi kwa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) baada ya kupatiwa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 katika Kijiji Cha Simhha Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara. Na.Alex Sonna-HAYDOM Mwenyekiti…