WAZIRI CHANA AIPONGEZA FAMILIA YA CHIFU MKWAWA

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) ameipongeza familia ya Chifu wa Kabila la Wahehe Adam Abdul Sapi Mkwawa II kwa kuendelea kushirikiana vyema na Serikali katika uhifadhi endelevu wa historia adhimu ya Chifu Mkwawa. Mhe. Chana ameyasema hayo leo Juni 5, 2025 Jijini Dodoma alipofunga kikao baina ya wataalam wa…

Read More

Wanahisa NMB kuvuna gawio Sh214.4 bilioni

Dodoma. Wakati Benki ya NMB ikiendelea kuvunja rekodi ya kupata faida kwa mwaka wa tatu mfululizo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, David Nchimbi, amepongeza ushirikiano wa wanahisa kwa kuridhia kwao maazimio ambayo yamekuwa chachu ya mafanikio ya benki hiyo. Kutokana na ufanisi huo, wanahisa wa NMB sasa watanufaika na gawio la kihistoria baada ya benki…

Read More

TBS HAKIKISHENI SOKO LA TANZANIA LINAKUWA NA BIDHAA BORA

:::::::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Shirika la Viwango Tanzania kutokuwa na huruma na bidhaa zisizokuwa na ubora kwani Serikali inataka soko la Tanzania liwe na bidhaa bora, salama na zenye kuleta tija kwa mlaji na kwa uchumi. Amewataka wazalishaji wa bidhaa na huduma, wahakikishe wanazingatia taratibu za vipimo, uthibitishaji wa ubora, na…

Read More

Watetezi Kanisa la Gwajima waongezeka

Dar es Salaam. Wakati waumini 84 kati ya 86 waliokamatwa katika Kanisa la Ufufuo na Uzima wakiachiwa huru na Polisi, taasisi na watu mbalimbali wameendelea kujitokeza kupinga iliyochukuliwa na Serikali ya kufuta kanisa hilo linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima. Waumini hao ni miongoni mwa waliokamatwa usiku wa kuamkia Juni 3, 2025, kufuatia mvutano uliotokea kati…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATOA WITO KWA VYOMBO VYA HABARI KUZINGATIA WELEDI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

-Ahimiza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita kutangazwa kwa wananchi Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amevitaka vyombo vya habari vinavyomilikiwa na chama hicho kuzingatia weledi, hasa kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Balozi Nchimbi amesema vyombo hivyo vina wajibu mkubwa wa kutumia weledi huo kutangaza mafanikio…

Read More

Bodaboda zilivyosaidia kupunguza wezi, vibaka mtaani

Dar es Salaam. Wakati asilimia 68 na asilimia 78 ya wanaume na wanawake wakishuhudia ongezeko la vipato kupitia kazi ya bodaboda, Katibu Tawala mkoa wa Dar es Salaam, Dk Toba Nguvila amesema sekta hiyo imesaidia kupunguza wezi mitaani. Hiyo ni kwa sababu watu wengi ambao wangekuwa mtaani bila shughuli ya kufanya sasa wamekuwa wakijitafutia kipato…

Read More