Sheikh Ponda atajwa kuwania ubunge Dar

Dar es Salaam. Uamuzi wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda kujiunga na Chama cha ACT Wazalendo, unatajwa kuwa huenda kiongozi huyo akawania ubunge katika jimbo mojawapo kati ya manne yanayotajwa jijini Dar es Salaam. Taarifa za ndani ambazo Mwananchi imezipata hivi sasa, timu ya ushauri ya kada huyo mpya…

Read More

Raha, karaha ujenzi njia nne barabara ya Mbeya

Mbeya. Wakati Serikali ikiendelea kutekeleza  ujenzi wa barabara ya njia nne maeneo ya jiji la Mbeya, wananchi wameomba viwekwe vivuko vya muda ili kunusuru maisha yao. Wamesema kando ya barabara hizo zinazojengwa, eneo kubwa limerundikwa vifusi huku baadhi ya maeneo yakichimbwa mashimo na kuachwa wazi, jambo ambalo ni hatari kwa waenda kwa miguu. Lakini pia…

Read More

Hivi ndivyo Ruto anavyopachikwa majina na Gen-Z

Dar es Salaam. Tangu ameingia madarakani, Rais wa Kenya, William Ruto amepewa majina mbalimbali ya utani kiasi ambacho hata yeye anashangaa ni kwa nini Wakenya wamekuwa wakimpa majina hayo. Ruto aliingia madarakani mwaka 2022, akapata misukosuko ya maandamano ya vijana maarufu Gen-Z, akaonyesha ustahimilivu akaishi nao. Maandamano hayakutosha akaanza kupachikwa majina ya utani ikiwemo Kasongo,…

Read More

CCM: Matokeo tume zilizoundwa Ngorongoro kufanyiwa kazi

Karatu. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema matokeo ya tume mbili zilizoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuchunguza na kutoa mapendekezo kwenye masuala yanayolalamikiwa wilayani Ngorongoro, yatafanyiwa kazi na kumaliza masuala hayo. Tume hizo mbili ziliundwa ambapo ya kwanza itachunguza na kutoa mapendekezo ya masuala ya ardhi yanayolalamikiwa na wakazi wa Ngorongoro, huku…

Read More

1,000 wafanyiwa upasuaji wa mdomo sungura na makovu

Mwanza. Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imefanya upasuaji wa kurekebisha hitilafu za kimaumbile ikiwemo mdomo wazi, mdomo sungura na makovu unoni kwa wagonjwa takriban 1,000 katika kipindi cha miaka minne kuanzia mwaka 2021. Mbali na upasuaji huo, hospitali hiyo kupitia kambi ya matibabu ya siku tano iliyoanza Juni 2-6, 2025 imefanya upasuaji kwa wagonjwa…

Read More

Rais wa zamani Zambia afariki Dunia

…….,…  Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, amefariki dunia. Rais Lungu amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 68. Taarifa za kifo cha Rais Lungu zimedhibitishwa na familia yake leo Alhamisi,  June 5, 2025. Kupitia video fupi, binti yake Lungu, Tasila, amesema kuwa Rais huyo wa zamani ambaye alikuwa “chini ya uangalizi wa kitabibu…

Read More

Makalla: Ilani ya CCM imebeba matumaini ya Watanzania

Karatu. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema ilani mpya ya uchaguzi ya mwaka 2025/30 iliyozinduliwa hivi karibuni, imebeba masuala muhimu yanayogusa maisha ya Watanzania. Aidha, amesema mwaka huu, chama hicho kimejipanga kushinda kwa kishindo kwa kuhakikisha inapeleka wagombea wazuri ili wachaguliwe. Makalla ameyasema hayo leo Alhamisi Juni…

Read More