Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 2
Habari

UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Msichafuane ili kuongoza kura za maoni wala msichukue fomu kuuza sura

June 30, 2025 Admin

Kura ya turufu huwa inaweza kuzuia baadhi ya maamuzi yasitekelezwe, na hiki ndicho baadhi ya watia nia wa nafasi za ubunge na udiwani ama mawakala

Read More
Habari

Bei za vifurushi zimeshuka – NHIF

June 30, 2025 Admin

Dar es Salaam.  Baada ya kuwapo kwa malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusu gharama za vifurushi vya bima za afya, Mfuko wa Taifa wa Bima

Read More
Habari

CCM, ACT na Chaumma wanavyogawana wabunge 19 wa Chadema

June 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Vyama vya CCM, ACT Wazalendo na Chaumma vimejikuta vikigawana waliokuwa wabunge 19 wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),

Read More
Habari

SABABU ZA KANYASU KUTIA NIA TENA, GEITA MJINI, FAIDA YA USOMI WANGU NI KUCHOCHEA MAENDELEO YA GEITA

June 30, 2025 Admin

::::::::: MBUNGE anayemaliza muda wake, Geita Mjini, Costantine Kanyasu, ambaye aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, amechukua fomu ya kutetea nafasi yake hiyo,

Read More
Habari

Latra kutangaza watoa huduma wa tiketi mtandaoni walioidhinishwa

June 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) inatarajiwa kuanzia kesho Julai mosi, 2025 kutangaza orodha ya watoa huduma wa tiketi mtandao wa mabasi waliofanikiwa kuunganisha

Read More
Habari

Kilimo mazao mseto kilivyosaidia kupambana na tembo

June 30, 2025 Admin

Iringa. Kutokana na mnyama tembo kuwa na tabia ya kubadilika, wananchi waishio maeneo yenye wanyama hao wameshauriwa kulima mazao mseto ili kuepukana na uharibifu unaoweza

Read More
Habari

MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA UFADHILI WA MAENDELEO NCHINI HISPANIA

June 30, 2025 Admin

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia Mkutano wa Nne wa Kimataifa kuhusu Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) unaofanyika

Read More
Habari

Mtanda: Anayesema kero za wananchi zimeisha ni muongo

June 30, 2025 Admin

Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema viongozi wana wajibu mkubwa wa kutatua kero zinazowakabili wananchi, migogoro ya ardhi na migogoro ya kiongozi

Read More
Habari

Meridianbet Yawafikia Wakazi wa Magomeni na Manzese

June 30, 2025 Admin

KATIKA kuendelea dhamira yao ya kurejesha kwa jamii wakali wa ubashiri Meridianbet leo hii waliamua kuwafikia wakazi wa Magomeni na Manzese na kuwapatia msaada wa

Read More
Michezo

Z’bar kutumia wahudumu wa afya ngazi ya jamii kuimarisha mifumo

June 30, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameitaka Wizara ya Afya kuwa na mipango endelevu kuwapata wahudumu wa afya ngazi ya jamii (CHWs) akisema kutachochea

Read More

Posts pagination

Previous 1 2 3 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.