Bei za vifurushi zimeshuka – NHIF

Dar es Salaam.  Baada ya kuwapo kwa malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusu gharama za vifurushi vya bima za afya, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umesema bei zimepunguzwa. Na sasa mtu anaweza kupata kifurushi cha Sh168,000 kwa mwaka sambamba na uwepo wa vifurushi mbalimbali ikiwemo vya watoto. Hili linasemwa wakati ambao tayari…

Read More

CCM, ACT na Chaumma wanavyogawana wabunge 19 wa Chadema

Dar es Salaam. Vyama vya CCM, ACT Wazalendo na Chaumma vimejikuta vikigawana waliokuwa wabunge 19 wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wanaotafuta hatima yao kisiasa kwenye vyama hivyo. Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhitimisha shughuli za Bunge, Juni 27, 2025, wabunge hao, walioingia kwenye mgogoro na chama chao baada ya…

Read More

SABABU ZA KANYASU KUTIA NIA TENA, GEITA MJINI, FAIDA YA USOMI WANGU NI KUCHOCHEA MAENDELEO YA GEITA

::::::::: MBUNGE anayemaliza muda wake, Geita Mjini, Costantine Kanyasu, ambaye aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, amechukua fomu ya kutetea nafasi yake hiyo, kuchochea maendeleo ya utekelezaji wa miradi iliyoanza katika uongozi wake. Mbunge Kanyasu amekabidhiwa fomu hiyo, wilayani humo na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Geita, Michael Mshuya, huku akimshukuru…

Read More

Latra kutangaza watoa huduma wa tiketi mtandaoni walioidhinishwa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) inatarajiwa kuanzia kesho Julai mosi, 2025 kutangaza orodha ya watoa huduma wa tiketi mtandao wa mabasi waliofanikiwa kuunganisha mfumo wao na wa Serikali. Kwa mujibu wa Latra, watoa huduma ambao mfumo wao wa tiketi mtandao hausomani na mifumo ya Serikali hawataruhusiwa kuendelea na shughuli wanazofanya. Hatua hii inakuja…

Read More

Kilimo mazao mseto kilivyosaidia kupambana na tembo

Iringa. Kutokana na mnyama tembo kuwa na tabia ya kubadilika, wananchi waishio maeneo yenye wanyama hao wameshauriwa kulima mazao mseto ili kuepukana na uharibifu unaoweza kusababishwa nao. Hilo linatokana na kilimo cha mazao mseto yasiyo rafiki kwa tembo kuonesha mafanikio kama mbinu mojawapo ya kupambana na wanyama wakali na waharibifu. Akizungumza na viongozi kutoka Shirika…

Read More

Mtanda: Anayesema kero za wananchi zimeisha ni muongo

Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema viongozi wana wajibu mkubwa wa kutatua kero zinazowakabili wananchi, migogoro ya ardhi na migogoro ya kiongozi baina ya viongozi, huku akisisitiza kuwa kero za wananchi haziishi na anayesema zimeisha ni muongo. ‎‎Mtanda amesema hayo leo Jumatatu Juni 30, 2025 katika hafla ya kumuapisha Mkuu wa Wilaya…

Read More

Meridianbet Yawafikia Wakazi wa Magomeni na Manzese

KATIKA kuendelea dhamira yao ya kurejesha kwa jamii wakali wa ubashiri Meridianbet leo hii waliamua kuwafikia wakazi wa Magomeni na Manzese na kuwapatia msaada wa mahitaji muhimu ikiwemo vyakula ambavyo vitawasaidia kuendesha maisha yao. Kama tunavyojua jamii yetu ambayo inatuzunguka baadhi yao uchumi wao ni wa kati wengine wa juu na wengine wana uchumi mdogo…

Read More