Kura ya turufu huwa inaweza kuzuia baadhi ya maamuzi yasitekelezwe, na hiki ndicho baadhi ya watia nia wa nafasi za ubunge na udiwani ama mawakala
Month: June 2025

Dar es Salaam. Baada ya kuwapo kwa malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusu gharama za vifurushi vya bima za afya, Mfuko wa Taifa wa Bima

Dar es Salaam. Vyama vya CCM, ACT Wazalendo na Chaumma vimejikuta vikigawana waliokuwa wabunge 19 wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),

::::::::: MBUNGE anayemaliza muda wake, Geita Mjini, Costantine Kanyasu, ambaye aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, amechukua fomu ya kutetea nafasi yake hiyo,

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) inatarajiwa kuanzia kesho Julai mosi, 2025 kutangaza orodha ya watoa huduma wa tiketi mtandao wa mabasi waliofanikiwa kuunganisha

Iringa. Kutokana na mnyama tembo kuwa na tabia ya kubadilika, wananchi waishio maeneo yenye wanyama hao wameshauriwa kulima mazao mseto ili kuepukana na uharibifu unaoweza

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia Mkutano wa Nne wa Kimataifa kuhusu Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) unaofanyika

Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema viongozi wana wajibu mkubwa wa kutatua kero zinazowakabili wananchi, migogoro ya ardhi na migogoro ya kiongozi

KATIKA kuendelea dhamira yao ya kurejesha kwa jamii wakali wa ubashiri Meridianbet leo hii waliamua kuwafikia wakazi wa Magomeni na Manzese na kuwapatia msaada wa

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameitaka Wizara ya Afya kuwa na mipango endelevu kuwapata wahudumu wa afya ngazi ya jamii (CHWs) akisema kutachochea