Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 20
Habari

TFS Kanda ya Kusini Yakabidhi Mbao 5000 Zenye Thamani ya Milioni 37 kwa ajili ya sekta ya elimu Masasi.

June 28, 2025 Admin

Masasi-Mtwara. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)  Kanda ya Kusini, umekabidhi mbao 5,000 zenye thamani ya shilingi milioni 37 kwa Wilaya ya Masasi, kwa

Read More
Habari

Watu 16 waokolewa ajali ya mabasi Same

June 28, 2025 Admin

Moshi. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema watu 16 wameokolewa katika ajali iliyotokea wilayani Same ikihusisha basi kubwa

Read More
Habari

DKT. CHARLES STEPHEN KIMEI ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UBUNGE AWAMU YA PILI – VUNJO

June 28, 2025 Admin

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei amechukua fomu ya kuwania ubunge awamu ya pili katika jimbo hilo zilizotolewa ofisi za

Read More
Habari

AHMED SALUM ACHUKUA FOMU KUWANIA TENA UBUNGE JIMBO LA SOLWA

June 28, 2025 Admin

Mbunge wa Jimbo la Solwa Mkoani Shinyanga Mhe. Ahmed Ally Salum akionesha Fomu baada ya kuchukua Fomu ya Maombi ya Kugombea Nafasi ya Ubunge katika

Read More
Kimataifa

Zaidi ya wafanyikazi wanaoweza kutolewa, kuvuruga mageuzi na kurejesha ufanisi wa UN – maswala ya ulimwengu

June 28, 2025 Admin

Maoni na Naima Abdellaoui (Geneva) Ijumaa, Juni 27, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Geneva, Jun 27 (IPS) – Katika enzi iliyofafanuliwa na uchumi wa

Read More
Habari

MHANDISI JUMBE ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE SHINYANGA MJINI

June 28, 2025 Admin

Mhandisi James Jumbe Wiswa akionesha Fomu ya Maombi ya Kugombea Nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama Chama cha Mapinduzi (CCM) leo

Read More
Habari

SMZ yaeleza tatizo wataalamu wa mafuta na gesi, yawaita kuchangamkia fursa

June 28, 2025 Admin

Unguja. Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar imesema kuwa mojawapo ya changamoto inayoikabili ni namna ya kuimarisha na kuingiza utaalamu wa mafuta na

Read More
Habari

JERRY SILAA ACHUKUA FOMU UBUNGE UKONGA

June 28, 2025 Admin

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jerry Silaa, amechukua na kisha kurejesha fomu baada ya kuijaza ya kuomba ridhaa ya Chama kuwania ubunge katika Jimbo

Read More
Michezo

Arajiga apewa tena fainali FA Yanga vs Singida BS

June 28, 2025 Admin

SHIRIKISHO la Soka Tanzania, limemteua Ahmed Arajiga, kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) utakaozikutanisha Yanga dhidi ya Singida

Read More
Habari

Mabasi ya abiria yagongana, yawaka moto abiria wakiwa ndani Same

June 28, 2025 Admin

Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia kwa kuungua moto baada ya basi la abiria kuvaana uso kwa uso na basi dogo na kusababisha kuwaka moto wilayani

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 19 20 21 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.