TFS Kanda ya Kusini Yakabidhi Mbao 5000 Zenye Thamani ya Milioni 37 kwa ajili ya sekta ya elimu Masasi.

Masasi-Mtwara. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)  Kanda ya Kusini, umekabidhi mbao 5,000 zenye thamani ya shilingi milioni 37 kwa Wilaya ya Masasi, kwa ajili ya kuchangia maendeleo ya miundombinu ya elimu,  Mbao hizo zitatumika katika ujenzi wa madarasa, mabweni pamoja na utengenezaji wa madawati kwa shule mbalimbali wilayani humo. Akizungumza wakati wa kukabidhi…

Read More

Watu 16 waokolewa ajali ya mabasi Same

Moshi. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema watu 16 wameokolewa katika ajali iliyotokea wilayani Same ikihusisha basi kubwa na dogo, ambayo yaliwaka moto . Amesema ajali hiyo iliyotokea leo Jumamosi Juni 28, 2025 imehusisha basi la abiria la Kampuni ya Channel One lililokuwa likitokea Moshi kwenda mkoani Tanga…

Read More

SMZ yaeleza tatizo wataalamu wa mafuta na gesi, yawaita kuchangamkia fursa

Unguja. Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar imesema kuwa mojawapo ya changamoto inayoikabili ni namna ya kuimarisha na kuingiza utaalamu wa mafuta na gesi kisiwani ili kuhakikisha wananchi wananufaika ipasavyo na rasilimali hizo. Wizara hiyo imesema kuwa licha ya kuchukua hatua mbalimbali, zikiwemo kuwasomesha wafanyakazi na kuwaajiri wataalamu waliobobea katika masuala ya mafuta…

Read More

JERRY SILAA ACHUKUA FOMU UBUNGE UKONGA

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jerry Silaa, amechukua na kisha kurejesha fomu baada ya kuijaza ya kuomba ridhaa ya Chama kuwania ubunge katika Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam. Silaa, alichukua na kurejesha fomu hiyo katika Ofisi ya CCM Wilaya ya Ilala ambapo alikabidhiwa na Katibu wa Chama wa wilaya hiyo Sylivester Yared,…

Read More

Arajiga apewa tena fainali FA Yanga vs Singida BS

SHIRIKISHO la Soka Tanzania, limemteua Ahmed Arajiga, kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) utakaozikutanisha Yanga dhidi ya Singida Black Stars. Arajiga ni mara ya pili mfululizo kuwa mwamuzi wa kati kwenye fainali ya michuano hii baada ya kuteuliwa msimu uliopita Yanga ilipoifunga Azam kwa penalti 6-5. Mbali na…

Read More