Aliyekuwa rais wa Zambia, Edgar Lungu afariki dunia
Dar es Salaam. Aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu, amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi. Taarifa za kifo chake zimetolewa leo Alhamisi Juni 5, 2025 na chama chake cha zamani, Patriotic Front (PF), kilichothibitisha kuwa kiongozi huyo ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 68. Lungu aliongoza Zambia kuanzia mwaka 2015 hadi 2021, baada…