Ecobank Tanzania Yazindua Tawi Jipya Kariakoo, Yalenga Kuimarisha Biashara na Ushirikiano wa Afrika

 Ecobank Tanzania imezindua rasmi tawi lake jipya katika eneo la Kariakoo, ikiwa ni hatua muhimu ya kusogeza huduma za kifedha karibu na kitovu kikuu cha biashara nchini. Tawi hilo lipo katika mtaa wa Mkunguni na Lumumba, ambapo limepokelewa kwa furaha na wafanyabiashara wa eneo hilo. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara…

Read More

Sh17.7 bilioni kumaliza adha ya mafuriko Mto wa Mbu

Monduli. Zaidi ya Sh17.7 bilioni zilizotolewa kwa ajili ya mradi wa skimu za umwagiliaji katika eneo la Mto wa Mbu, wilayani Monduli, Mkoa wa Arusha zinatarajiwa kumaliza tatizo la mafuriko katika eneo hilo. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Juni 5, 2025 na Mbunge wa Monduli, Fredrick Lowassa alipokuwa akizungumza na wananchi wa Mto wa Mbu katika…

Read More

GGML KUZINDUA MPANGO WA MAFUNZO KWA VITENDO

*Kwa Ajili ya Kuendeleza Vijana Kitaaluma Tanzania Na Mwandishi Wetu Geita Gold Mining Limited kuzindua Mpango wa Mafunzo kwa Vitendo kwa Mwaka 2025/2026 kwa Ajili ya Kuendeleza Vijana Kitaaluma Tanzania. Geita Gold Mining Limited (GGML) kesho Juni 06, 2025 itazindua rasmi Mpango wake wa Mafunzo kwa Vitendo kwa Wahitimu na Ujuzi Muhimu kwa mwaka 2025/2026,…

Read More

Chalamila ataka taasisi za dini zikaguliwe mara kwa mara

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameitaka Serikali kuwa na utaratibu wa kuzifuatilia taasisi za dini ili zisitoe mahubiri yanayoweza kupotosha Taifa. Amesema hiyo itasaidia kuziondolea usajili taasisi zenye mahubiri na mafunzo ambayo yanaweza kuwa sumu kwa Taifa. Chalamila ameyasema hayo leo Juni 5,2025 wakati wa harambee ya ujenzi…

Read More

VIDEO: Sheikh Ponda atoa sababu kujiunga na ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ametangaza kujiunga na chama cha ACT-Wazaendo akisema ameona umuhimu wa kuchangia nguvu katika operesheni ya ACT Wazalendo ya ‘Linda Demokrasia’, inayolenga kurejesha haki, uwazi na usawa katika michakato ya uchaguzi nchini Tanzania. Amesema anajiunga na chama hicho lengo ni kuhakikisha:…

Read More

Mtanzania afariki akiwa ibada ya Hijja

Dar es Salaam. Mtanzania aliyejulikana kwa jina la Iqbal Baghdad, amefariki akiwa nchini Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hijja. Hujaji huyo amefariki jana katika mji wa Madina  kabla ya kuanza kwa Manasiq yaani mfululizo wa ibada za Hijja ambapo leo mahujaji wanakusanyika katika viwanja vitakatifu vya Arafa,  ikiwa ni sehemu muhimu ya utekelezaji wa ibada…

Read More

Kakolanya: Kukaa nyumbani sio poa

KIPA wa Singida Black Stars, Beno Kakolanya aliyekuwa anacheza kwa mkopo Namungo, amesema hakuwa na msimu mzuri kutokana na kucheza mechi saba na sasa yupo nje ya kazi, akisema kwake sio poa, japo hana namna kwani msimu umeshaisha. Namungo ilitangaza kuachana na Kakolanya, hivyo alirejea SBS ambako hawezi kucheza hadi msimu umalizike, alikiri endapo kama…

Read More

ABC yaipokea UDSM Outsiders | Mwanaspoti

KICHAPO ilichopewa UDSM Outsiders kutoka kwa KIUT cha pointi 65-60, kimeifanya timu hiyo ishuke katika uongozi wa msimamo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) hadi kwenda nafasi ya tano ikiipisha kileleni ABC. Kushuka kwa Outsiders kumeifanya ABC iongoze Ligi hiyo kwa pointi 12, ikifuatiwa na Dar City iliyopata pointi 10. Takwimu…

Read More

LIVE: Sheikh Ponda atoa sababu kujiunga na ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ametangaza kujiunga na chama cha ACT-Wazaendo akisema ameona umuhimu wa kuchangia nguvu katika operesheni ya ACT Wazalendo ya ‘Linda Demokrasia’, inayolenga kurejesha haki, uwazi na usawa katika michakato ya uchaguzi nchini Tanzania. Amesema anajiunga na chama hicho lengo ni kuhakikisha:…

Read More