DIRISHA kubwa la usajili wa Ligi Kuu Bara linanukia na Mwanaspoti linafahamu kuna kitu kinaendelea baina ya Simba na Yanga nchini DR Congo. Mpaka sasa
Month: June 2025

WAKATI joto la pambano la Dabi ya Kariakoo likiendelea kupanda kwa mashabiki wa soka nchini, Kocha wa Yanga, Miloud Hamdi amevunja ukimya na kuweka bayana

Dodoma. Serikali ipo mbioni kuongeza safari za treni ya mwendokasi (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma ili kufikia safari nne kwa siku. Kauli hiyo

WAKATI Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikizidi kushika kasi, mambo bado hayajakaa vizuri kwa timu kongwe ya Savio baada

Dar es Salaam. Waumini 84 kati ya 86 waliokamatwa katika Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, wameachiwa kwa dhamana baada ya

Juni 05 kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Mazingira Duniani tukio muhimu lililoasisiwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1972 kwa lengo la kuongeza uelewa wa

Dar es Salaam. Serikali imesema miongoni mwa jitihada zinazofanyika kulinda haki na ustawi wa wafanyakazi nchini ni pamoja na kupitisha Sera ya Taifa ya Hifadhi

Juni, 2024 baada ya kuanza kwa safari za treni ya mwendokasi (SGR) nilikusanya vijisenti nikaionja bana, maana si kodi zangu bana shwaa nikaingia Morogoro asubuhi,

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeutaarifu umma wa Watanzania na kuwaalika wadau wa elimu na maendeleo, kwa

Fikiria siku moja ambapo hakuna Mtanzania atakayehitaji tena kutumia pesa taslimu. Kuanzia muuza chipsi wa Buguruni hadi kwa wavuvi wa Mafia na mwambao wa Tanga,