Simba yagusa dili la Yanga

DIRISHA kubwa la usajili wa Ligi Kuu Bara linanukia na Mwanaspoti linafahamu kuna kitu kinaendelea baina ya Simba na Yanga nchini DR Congo. Mpaka sasa msimamo wa ligi unavyosomeka, Simba na Yanga ndiyo wawakilishi wa Tanzania Bara kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao huku Singida Black Stars na Azam zikienda Kombe la…

Read More

Kocha wa Yanga afunguka kuhusu Dabi

WAKATI joto la pambano la Dabi ya Kariakoo likiendelea kupanda kwa mashabiki wa soka nchini, Kocha wa Yanga, Miloud Hamdi amevunja ukimya na kuweka bayana kwamba kwa sasa anaendelea kuwaandaa wachezaji kwa mechi tatu zilizosalia kufunga msimu kwa timu hiyo, lakini dabi haipo. Hamdi alisema wachezaji wana kazi kwenye mechi mbili za Ligi Kuu Bara…

Read More

Savio yashindwa kuonyesha makali | Mwanaspoti

WAKATI Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikizidi kushika kasi, mambo bado hayajakaa vizuri kwa timu kongwe ya Savio baada ya kuchemsha katika mechi zake kadha za ligi hiyo. Savio iliyowahi kuwa bingwa mwaka 2016, 2017, 2018 na 2021, msimu huu imeshindwa kuonyesha makali kama ilivyozoeleka kwani ilianza kwa kufungwa…

Read More

Waumini 84 wa kanisa la Gwajima waachiwa kwa dhamana

Dar es Salaam. Waumini 84 kati ya 86 waliokamatwa katika Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, wameachiwa kwa dhamana baada ya kuzuiliwa kwa muda wakituhumiwa kukiuka maagizo ya Serikali. Waumini hao ni miongoni mwa waliokamatwa alfajiri ya kuamkia Juni 3, 2025, kufuatia mvutano uliotokea kati yao na Jeshi la Polisi, lililovamia…

Read More

Fursa za kujipatia fedha kwa uhifadhi mazingira

Juni 05 kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Mazingira Duniani tukio muhimu lililoasisiwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1972 kwa lengo la kuongeza uelewa wa jamii kuhusu umuhimu wa kulinda na kuhifadhi mazingira. Uhifadhi wa mazingira umekuwa ni fursa na ni vema kuangazia namna mtu mmoja mmoja anaweza kushiriki kwa vitendo na kunufaika. Katika muktadha…

Read More

Vifaa ndani ya SGR vyaanza kuharibiwa

Juni, 2024 baada ya kuanza kwa safari za treni ya mwendokasi (SGR) nilikusanya vijisenti nikaionja bana, maana si kodi zangu bana shwaa nikaingia Morogoro asubuhi, jioni nikarudi kwa raha zangu. Hata hivyo kulikuwa na tafrani kadhaa ikiwamo siti kugongana yaani unakutana umepewa siti namba mbili na mwenzake anayo hiyo hiyo basi shida tupu. Foleni nayo…

Read More

Fikiria, itakuaje wote tukiacha kutumia pesa taslimu

Fikiria siku moja ambapo hakuna Mtanzania atakayehitaji tena kutumia pesa taslimu. Kuanzia muuza chipsi wa Buguruni hadi kwa wavuvi wa Mafia na mwambao wa Tanga, kila mtu anapokea na kufanya malipo kwa njia ya kidijitali. Watoto watafunguliwa akaunti za akiba kwa kutumia tu namba ya cheti cha kuzaliwa kupitia simu ya mkononi, bila kwenda benki….

Read More