Maji Ziwa Victoria kufanyiwa utafiti ubora wake

Mwanza. Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC) inatarajia kufanya utafiti wa maji ya Ziwa Victoria ili kujua ubora wake yanayotegemewa na watu milioni 45 kwa nchi za Afrika Mashariki. Utafiti huo unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ), utaanza hivi karibuni baada ya wataalamu kupewa mafunzo ya siku tatu ya namna ya kuufanya…

Read More

Makalla awajibu Chadema akianza ziara ya siku saba Kaskazini

Babati. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ameanza ziara ya mikoa ya kanda ya kaskazini kwa lengo kujibu kile alichokiita upotoshaji wa uliofanywa na viongozi wa Chadema waliofanya ziara hivi karibuni. Hivi karibuni Chadema kupitia viongozi wake wakuu wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti hicho (Bara) John Heche na Kaimu…

Read More

Majaliwa ataka TBS iende viwanda kudhibiti ubora

Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amelielekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuanza kudhibiti ubora wa bidhaa moja kwa moja viwandani badala ya kusubiri bidhaa kukamilika kwa ajili ya ukaguzi. Akizungumza leo, Juni 4, 2025, katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la jengo jipya la TBS jijini Dodoma, Majaliwa amesema hatua hiyo itasaidia kuzuia…

Read More

Njia ya Mifumo – Maswala ya Ulimwenguni

Mikopo: Marcovector/Shutterstock.com Maoni na Lisa Schirch Jumatano, Juni 04, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Jun 04 (IPS) – Mtandao bora ambao unasaidia demokrasia badala ya kudhoofisha inawezekana. Mnamo 2025, tunasimama kwenye njia panda katika enzi ya dijiti. Majukwaa yetu yamekuwa viwanja vipya vya umma, lakini badala ya kukuza demokrasia na hadhi, nyingi zinaboreshwa kwa…

Read More

Tathmini ya taasisi Wizara ya Nishati zamkuna Dk Biteko

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewapongeza watendaji wa Wizara ya Nishati na taasisi zake akisema zinaendelea kuimarisha utendaji kazi. Amesema kwa hatua hiyo, zinaifanya sekta ya nishati kuwa na matokeo chanya katika utoaji wa huduma kwa wananchi. Dk Biteko ametoa pongezi hizo baada ya kufanyika kwa tathmini ya utendaji…

Read More

Chadema yabadili msimamo, kumpeleka Msajili mahakamani

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokarasia na Maendeleo (Chadema), John Heche amesema chama hicho kinatarajia kwenda mahakamani kumshitaki Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kupinga uamuzi wake dhidi yao. Uamuzi wa Msajili unaotarajiwa kupingwa na Chadema ni kubatilisha uamuzi wa Kikao cha Baraza Kuu la chama hicho wa kuwateua viongozi…

Read More

Sh26 bilioni kujenga skimu ya umwagiliaji Tabora

Tabora. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imeingia mkataba na mkandarasi mzawa wa Kampuni ya Samota Limited kujenga mradi wa skimu ya umwagiliaji wa Mwamapuli, Kijiji cha Mwanzugi wilayani Igunga Mkoa wa Tabora wenye thamani ya Sh26.9 bilioni. Mkataba huo umeingiwa leo Jumatano, Juni 4, 2025 katika hafla iliyohudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora,…

Read More

Aliyekuwa mwasisi wa Chaumma atimkia Chadema

Dar es Salaam. Mmoja wa waanzilishi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Eugine Kabendera ametangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ikiwa ni wiki moja tangu alipotangaza kujiondoa katika chama chake cha awali. Kabendera alitangaza kukihama Chaumma, wiki iliyopita akitaja sababu za uamuzi wake huo ni kutoridhishwa na mwenendo wa kilichokuwa chama…

Read More