Waliokuwa wabunge wapiga jaramba kurudi bungeni

Dar/mikoani. Joto la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba linazidi kupanda ndani ya majimbo huku waliokuwa wabunge kwa kipindi cha mwaka 2015-2020 wakitajwa kupiga jaramba kurejea. Kwenye kundi hilo wapo walikuwa mawaziri na naibu mawaziri wameonyesha nia ya kuingia katika uchaguzi mkuu ujao kuchuana na wenzao walioingia mwaka 2020 ambao wamebakisha siku 23 kumaliza utumishi wao. Kinyang’anyiro…

Read More

CCM yawaonya viongozi wa UWT uonevu kwenye uchaguzi ujao

Kibaha. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani, Kitte Mfilinge ametoa onyo kwa viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoani humo, akiwataka kuepuka vitendo vya uonevu, chuki, na upendeleo dhidi ya wanachama wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao. Mfilinge ametoa kauli hiyo leo, Jumatano Juni 4, 2025 wakati…

Read More

Chaumma chaeleza hatua ya kwanza ya utekelezaji kazi

Mara. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimesema  katika kutekeleza sera yake ya Ubwabwa, kikishinda dola katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, shughuli yake ya kwanza ni kwenda kuondoa ushuru kandamizi kwenye bidhaa za chakula. Kimesema kwa hali ilivyo sasa, bidhaa nyingi za chakula yakiwamo mafuta, sukari zinatozwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT)…

Read More

Wanaume wasiotaka kuzeeka dawa ya bure hii hapa

Wanaume ambao wameoa huwa hawazeeki haraka ikilinganishwa na wale ambao ni makapera, utafiti umebaini. Utafiti huo uliochapishwa katika jarida la International Social Work,  uliangazia umuhimu wa ndoa kwa wanaume na wanawake na mchango wake katika safari yao ya kuzeeka. Hata hivyo, kwa wanawake haikubainika iwapo maisha ya ndoa yanapunguzia uzee. Kwenye utafiti huo uliochukua miaka…

Read More

Zaidi ya nusu ya bajeti ya Wizara ya Fedha kulipa madeni

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Fedha ya Sh20.3 trilioni kwa mwaka wa fedha 2025/26, huku Sh14.21 trilioni zimetengwa mahsusi kwa ajili ya kulipia deni la Serikali linalotarajiwa kuiva ndani ya mwaka huo wa fedha. Mbali na hayo, Mbunge wa Ole (CCM), Juma Hamad Omari, amelalamikia malipo madogo ya pensheni kwa wastaafu waliotumika katika…

Read More

DKT. JINGU ATAKA ELIMU YA STADI YA MAISHA IGUSE JAMII

WMJJWM- Dodoma KATIBU Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu, ametaka huduma na elimu ya stadi za maisha zinazotolewa katika Makao ya Taifa ya kulelea watoto Kikombo Dodoma kufikia Jamii. Dkt. Jingu amesema hayo Juni 03, 2025, baada ya kufanya ziara ya kutembelea Makao hayo kwa lengo la…

Read More

KIWANDA CHA KUSAFISHA NA KUONGEZA THAMANI MADINI ADIMU KUJENGWA KIJIJINI NGWALA,SONGWE

▪️Uendelezaji wa Mradi kuanza rasmi Disemba 2025 ▪️Ni mradi wa Madini Adimu utakaogharimu Bilioni 771 ▪️Waziri Mavunde azindua zoezi la ulipwaji fidia wananchi 192 ▪️Wananchi wamshukuru Rais Samia kwa mazingira ya uwekezaji ▪️Serikali kuvuna mapato ya zaidi ya Trilioni 12 Ngwala,Songwe KAMPUNI  ya Mamba Minerals Ltd inayowekeza kwenye mradi wa Madini adimu imeweka wazi mpango…

Read More