WAZIRI MCHENGERWA AWAFUNDA MA RC WAPYA

Na John Mapepele Mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwaapisha na kutoa maelekezo kwa viongozi kadhaa aliowateua ikiwa ni pamoja na Wakuu wa Mikoa, Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kuwafunda. Mhe. Mchengerwa amewataka kuzingatia maelekezo yote waliyopatiwa na Mhe. Rais huku akisisitiza kuwa…

Read More

Fainali FA kwa Ouma, Hamdi ni zaidi ya mechi

KOCHA wa Yanga, Miloud Hamdi na David Ouma wa Singida Black Stars, kila mmoja anaitazama fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kuwa ni zaidi ya mechi. Hiyo inatokana na yeyote atakayeshinda, ataweka rekodi katika maisha ya ufundishaji ambapo Hamdi anakutana na Singida,  timu iliyomtambulisha Desemba 2024 kuwa kocha wa timu hiyo, kisha akaibukia Yanga Februari…

Read More

SEKRETERIETI YA CCM IKITATHMINI UCHUKUAJI WA FOMU

Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, imekutana katika kikao chake maalum leo Jumamosi tarehe 28 Juni 2025, kufuatilia mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi ndani ya CCM.  Kikao hicho kilipokea na…

Read More

Kauli ‘mtoto siyo wako’ ilivyosababisha mauaji

Morogoro. Unaweza kuichukulia kuwa kauli nyepesi, lakini siyo wanaume wote wana kifua cha kuhimili. Hiki ndicho kilichotokea kwa mume kumuua mkewe kutokana na hasira baada ya mke kumtamkia kuwa yeye siyo baba mzazi wa mtoto waliyenaye. Ushahidi katika kesi ya mauaji unaonyesha mke alimpigia simu mumewe aliyekuwa akiishi eneo tofauti naye, akimwita afike kwa kuwa…

Read More

SHIRIKA LA MISSION TANZANIA LALETA NEEMA YA KUWASAIDIA WATOTO WA KIKE WALIOPATA MIMBA ZA UTOTONI

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Jamii wakimemo walezi na wazazi wametakiwa kuhahakikisha wanaweka misingi imara na kuwa mstari wa mbele katika kuwalinda watoto wa kike katika suala zima la ukatili wa kijinsia ikiwa pamoja na kutokomeza ndoa za utotoni. Kauli hiyò imetolewa na Madina Mussa ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha wakati wa sherehe maadhimisho…

Read More

Wananchi Kusini Unguja waeleza matamu, machungu RC akiwapa matumaini

Unguja. Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja, licha ya kupongeza hatua mbalimbali za maendeleo wanazozishuhudia, wamemweleza Mkuu wa Mkoa huo, Ayoub Mohamed Mahmoud, kuhusu changamoto zinazowakabili, huku wakielekeza lawama kwa baadhi ya masheha wanaodaiwa kutozingatia majukumu yao ipasavyo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maskani ya wazee, kupitia programu maalumu ya Kijiwe cha Maendeleo, baadhi ya…

Read More