Na John Mapepele Mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwaapisha na kutoa maelekezo kwa viongozi kadhaa
Month: June 2025

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jackline Isaro akionesha Fomu ya Maombi ya Kugombea Nafasi ya Udiwani katika Kata ya Ngokolo Jimbo la Shinyanga Mjini

KOCHA wa Yanga, Miloud Hamdi na David Ouma wa Singida Black Stars, kila mmoja anaitazama fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kuwa ni zaidi ya

Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel John

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Fomu hiyo

::::: Waziri Mstaafu wa Balozi Liberata Mulamula, aliyekuwa Mbunge wa kuteuliwa na Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, amechukua fomu

Morogoro. Unaweza kuichukulia kuwa kauli nyepesi, lakini siyo wanaume wote wana kifua cha kuhimili. Hiki ndicho kilichotokea kwa mume kumuua mkewe kutokana na hasira baada

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Jamii wakimemo walezi na wazazi wametakiwa kuhahakikisha wanaweka misingi imara na kuwa mstari wa mbele katika kuwalinda watoto wa kike katika suala

Unguja. Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja, licha ya kupongeza hatua mbalimbali za maendeleo wanazozishuhudia, wamemweleza Mkuu wa Mkoa huo, Ayoub Mohamed Mahmoud, kuhusu changamoto

Na Mwandishi Wetu KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Enock Koola, ambaye ni msomi wa masuala ya Uchumi na Usimamizi wa Miradi, amechukua fomu ya kugombea