Programu ya Chakula Duniani (WFP) na Mfuko wa watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) alilaani shambulio la kikundi cha pamoja cha kibinadamu na akakumbusha jamii
Month: June 2025

BAADA ya kuifanikisha Singida Black Stars kutinga fainali ya Kombe la FA kocha wa timu hiyo Mkenya, David Ouma ameweka wazi kuwa anafurahia mafaniko ya

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikithibitisha kuzuia mitandao inayoenda kinyume na maadili ya nchi, wadau wa mawasiliano wamekosoa uamuzi huo, wakipendekeza mamlaka ijikite kudhibiti maudhui

KIUNGO mshambuliaji wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi amesema ubora waliouonyesha katika Ligi ya Championship hautazimika kwani wamepania kuendelea nao hata kwenye Ligi Kuu Bara kutokana

Dar es Salaam. Mageuzi ya kisera yatakayozuia uingizwaji wa plastiki Tanzania, kuanzisha mifuko itakayohamasisha urejelezaji wa taka zimetajwa kuwa njia zinazoweza kukomesha matumizi ya plastiki

USHINDI wa mabao 3-0 iliyopata Mlandege dhidi ya Kipanga na ule wa KVZ iliyoinyoa Mwembe Makumbi City, umeziweka timu hizo mbili katika nafasi nzuri ya

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche amesema chama hicho kimeamua kwenda mahakamani kuishtaki Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ikidai

Na Mwandishi Wetu – Dodoma 04 Juni 2025 Mamia ya wananchi wamejitokeza katika banda la Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kupata huduma mbalimbali

Dar es Salaam. Aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Eugene Kabendera leo Jumatano, Juni 4, 2025 ametangaza kujiunga na Chama

Nairobi. Ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni, methali hii yaonekana kudhihirika katika kisa cha kusikitisha cha Rosanna Kathure kutoka Meru, Kenya, ambaye alikumbwa na kadhia