Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 211
Kimataifa

Wanadamu watano waliuawa katika shambulio la ‘kutisha’ juu ya mkutano wa misaada huko Sudani – maswala ya ulimwengu

June 4, 2025 Admin

Programu ya Chakula Duniani (WFP) na Mfuko wa watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) alilaani shambulio la kikundi cha pamoja cha kibinadamu na akakumbusha jamii

Read More
Michezo

Ouma aanza tambo mapema fainali FA

June 4, 2025 Admin

BAADA ya kuifanikisha Singida Black Stars kutinga fainali ya Kombe la FA kocha wa timu hiyo Mkenya, David Ouma ameweka wazi kuwa anafurahia mafaniko ya

Read More
Habari

Wadau wapinga mamlaka, kufungiwa mtandao wa X

June 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikithibitisha kuzuia mitandao inayoenda kinyume na maadili ya nchi, wadau wa mawasiliano wamekosoa uamuzi huo, wakipendekeza mamlaka ijikite kudhibiti maudhui

Read More
Michezo

Mwalyanzi: Moto wa Mbeya City hauzimiki

June 4, 2025 Admin

KIUNGO mshambuliaji wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi amesema ubora waliouonyesha katika Ligi ya Championship hautazimika kwani wamepania kuendelea nao hata kwenye Ligi Kuu Bara kutokana

Read More
Habari

Bidhaa za plastiki bado mfupa mgumu

June 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mageuzi ya kisera yatakayozuia uingizwaji wa plastiki Tanzania, kuanzisha mifuko itakayohamasisha urejelezaji wa taka zimetajwa kuwa njia zinazoweza kukomesha matumizi ya plastiki

Read More
Michezo

Mlandege, KVZ vita nzito ubingwa ZPL

June 4, 2025 Admin

USHINDI wa mabao 3-0 iliyopata Mlandege dhidi ya Kipanga na ule wa KVZ iliyoinyoa Mwembe Makumbi City, umeziweka timu hizo mbili katika nafasi nzuri ya

Read More
Habari

Chadema kumburuza kortini Msajili, wasema hana nia njema

June 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche amesema chama hicho kimeamua kwenda mahakamani kuishtaki Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ikidai

Read More
Habari

TFS yawavutia wananchi Dodoma kwa tiba ya nyuki kwenye Wiki ya Mazingira

June 4, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu – Dodoma 04 Juni 2025  Mamia ya wananchi wamejitokeza katika banda la Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kupata huduma mbalimbali

Read More
Habari

Aliyekuwa muasisi wa Chaumma atimkia Chadema

June 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Eugene Kabendera leo Jumatano, Juni 4, 2025 ametangaza kujiunga na Chama

Read More
Habari

Kipigo cha fumanizi chamlaza mochwari

June 4, 2025 Admin

Nairobi. Ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni, methali hii yaonekana kudhihirika katika kisa cha kusikitisha cha Rosanna Kathure kutoka Meru, Kenya, ambaye alikumbwa na kadhia

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 210 211 212 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.