Na Seif Mangwangi, Arusha RAIA wa nchi ya Mali Jaji Modibo Sacko amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Mahakama ya Kimataifa ya Watu na Haki za
Month: June 2025

– NI BAADA YA TRUMP KUFUTA MISAADA Na Seif Mangwangi,Arusha MTANDAO wa utetezi wa Haki za binaadam (THRDC), umesema sehemu kubwa ya watanzania watashiriki kwenye

Miongoni mwa mambo ambayo athari zake ni kubwa kwa maisha ya mtu binafsi, jamii na taifa kwa ujumla ni dharau, au kwa maneno mengine, kupuuza

Enzi zile tulipokuwa shuleni tulikuwa tukichanganywa na malumbano ya hoja. Kwa ufundi mkubwa, waandaaji walitoa mada iliyokuwa na majibu sawa. Kilichokuwa kikisikilizwa si majibu, bali

KLABU ya Yanga imefikia makubaliano mazuri ya kumuongezea mkataba mwingine beki na nahodha wake msaidizi, Dickson ‘Dick’ Job. Inealezwa makubaliano hayo yaliyofikiwa

Dodoma. Serikali kupitia Idara ya Uhamiaji imeanzisha mfumo wa maombi ya viza kwa njia ya mtandao (e-Visa) unaowawezesha watalii kuomba viza popote walipo duniani bila

Unguja. Oktoba mwaka huu, Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu wake ambao utawachagua Rais wa Jamhuri ya Muungano na Rais wa Zanzibar, wabunge, wawakilishi na madiwani kwa

Baada ya kushuhudia yaliyowakuta wenzetu kwenye kiama twawala, Fyatu Mfyatuzi nimestuka. Lazima nichukue hatua mujarabu bila huruma. Kabla ya zari la mtiti wa fyatu kidhabu

Moshi. Shughuli ya kuaga miili ya wanandoa Geofrey Motta (60) na Blandina Ngowi (53), wanaodaiwa kuuawa na mtoto wao inaendelea katika Kanisa la Kiinjili la

Nataka niamini, na naumiza kichwa sana kuuaminisha ubongo wangu kuwa kuna wagombea fulani fulani wa vyama vya upinzani, kwamba makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM),