NIKWAMBIE MAMA: Kura iwe ya moto au baridi…

Enzi zile tulipokuwa shuleni tulikuwa tukichanganywa na malumbano ya hoja. Kwa ufundi mkubwa, waandaaji walitoa mada iliyokuwa na majibu sawa. Kilichokuwa kikisikilizwa si majibu, bali ni ufundi wa mwanafunzi kutetea hoja zake. Kwa mfano: “Maisha bora ni ya kijijini au mjini?” Aliyejibu ni ya mjini alikuwa sawa kwa utetezi kuwa mjini kuna miundombinu ya kisasa…

Read More

Watalii sasa wanaweza kuomba viza kwa mtandao

Dodoma. Serikali kupitia Idara ya Uhamiaji imeanzisha mfumo wa maombi ya viza kwa njia ya mtandao (e-Visa) unaowawezesha watalii kuomba viza popote walipo duniani bila kulazimika kufika ubalozini, hivyo kurahisisha upatikanaji wake. Hayo yamesemwa leo Jumatano Juni 4, 2025 bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula alipokuwa akijibu swali la…

Read More

Kilio cha wanawake wasakao uongozi Zanzibar, ZEC yajibu

Unguja. Oktoba mwaka huu, Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu wake ambao utawachagua Rais wa Jamhuri ya Muungano na Rais wa Zanzibar, wabunge, wawakilishi na madiwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Hata hivyo, kuna changamoto kubwa inayojitokeza kila uchaguzi unapowadia ya ushiriki mdogo wa wanawake, hasa visiwani Zanzibar, ukilinganisha na wanaume. Sababu moja kubwa inayotajwa mara…

Read More

FYATU MFYATUZI: Marufuku mafyatu kugwijimisha religion na politics

Baada ya kushuhudia yaliyowakuta wenzetu kwenye kiama twawala, Fyatu Mfyatuzi nimestuka. Lazima nichukue hatua mujarabu bila huruma. Kabla ya zari la mtiti wa fyatu kidhabu kujifyatua na kujifanya akitaka kutumikia mabwana wawili na kujigeuza msemaji wa kiama akafyatua yasiyofyatuliwa, nimejifunza kitu japo mambo ya Ngoswe nawaachia akina Ngoswe. Niligundua kuwa ukiruhusu wachunaji, sorry wachungaji, mashehena,…

Read More

Miili ya wanandoa waliouawa ikiagwa KKKT, kuzikwa leo

Moshi. Shughuli ya kuaga miili ya wanandoa Geofrey Motta (60) na Blandina Ngowi (53), wanaodaiwa kuuawa na mtoto wao inaendelea katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Msaranga Mandaka, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro. Wanandoa hao ambao ni wakazi wa Msufuni, Msaranga, wanadaiwa kuuawa kikatili kwa kukatwa shingo na mwingine kunyongwa usiku…

Read More

Nataka ‘niamini’ kuna kada CCM atamwachia mpinzani Jimbo

Nataka niamini, na naumiza kichwa sana kuuaminisha ubongo wangu kuwa kuna wagombea fulani fulani wa vyama vya upinzani, kwamba makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), watawapa bure majimbo hayo hata kama hawajashinda. Haisemwi rasmi bali inasemwa kama minong’ono kuwa katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2025, yapo majimbo ambayo Serikali ya CCM itayatenga kwa ajili ya…

Read More