Kura iwe ya moto au baridi…

Enzi zile tulipokuwa shuleni tulikuwa tukichanganywa na malumbano ya hoja. Kwa ufundi mkubwa, waandaaji walitoa mada iliyokuwa na majibu sawa. Kilichokuwa kikisikilizwa si majibu, bali ni ufundi wa mwanafunzi kutetea hoja zake. Kwa mfano: “Maisha bora ni ya kijijini au mjini?” Aliyejibu ni ya mjini alikuwa sawa kwa utetezi kuwa mjini kuna miundombinu ya kisasa…

Read More

Tuweni makini na maduka ya wauza roho

Kwa wanaofuatilia masuala ya dini, watakubaliana nasi kuwa imezuka biashara chafu ambayo ni karibu ya wizi na ujambazi japo tofauti ni kwamba imehalalishwa na serikali zetu. Hii si nyingine, bali uanzishwaji wa madhehebu ya dini na makanisa yenye lengo la kutengeneza fedha na si vinginevyo. Siku hizi biashara ya dini inalipa karibu sawa na ya…

Read More

Puma Energy Tanzania Yaunga Mkono Maadhimisho ya Siku ya Samia kwa Kuchangia Nishati Safi ya Kupikia

Kampuni ya Puma Energy Tanzania leo imeungana na wakazi wa mkoa wa Dodoma katika kusherehekea Siku ya Samia, ikiwa ni kuenzi uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, hususan katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi kwa Watanzania. Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, Bi. Fatma Abdalla,…

Read More

Marufuku mafyatu kugwijimisha religion na politics

Baada ya kushuhudia yaliyowakuta wenzetu kwenye kiama twawala, Fyatu Mfyatuzi nimestuka. Lazima nichukue hatua mujarabu bila huruma. Kabla ya zari la mtiti wa fyatu kidhabu kujifyatua na kujifanya akitaka kutumikia mabwana wawili na kujigeuza msemaji wa kiama akafyatua yasiyofyatuliwa, nimejifunza kitu japo mambo ya Ngoswe nawaachia akina Ngoswe. Niligundua kuwa ukiruhusu wachunaji, sorry wachungaji, mashehena,…

Read More

Heshima ndiyo msingi wa chama imara

Wiki hii nilipata fursa ya kuhudhuria Mkutano Mkuu Maalum wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uliofanyika Dodoma. Katika mkutano huo, ilipitishwa rasmi ilani mpya ya CCM kwa kipindi cha Mwaka 2025–2030. Kati ya mambo makubwa yaliyomo kwenye ilani hiyo, lililonigusa zaidi ni azma ya chama kuendelea na mchakato wa kupata Katiba mpya. Jambo hilo limekuwa gumzo…

Read More

Donald Trump,Elon Musk waingia kwenye mgogoro mzito – Global Publishers

Katika kile kinachoonekana kuwa mgogoro mpya kati ya watu wawili waliowahi kuwa washirika wa karibu, bilionea wa teknolojia Elon Musk amemkosoa vikali Rais wa Marekani, Donald Trump, kwa kuunga mkono muswada wa bajeti na kodi ambao umeibua mjadala mkubwa nchini humo.Musk aliuita muswada huo “uchafu wa kuchukiza” (disgusting abomination), huku akionyesha masikitiko na hasira kwa…

Read More

Vikumbo ubunge majimbo ya Dar es Salaam

Ukiacha vikumbo vya ubunge katika mikoa mingine, Dar es Salaam inabeba vita ya pekee katika mbio za kuisaka nafasi hiyo, huku wanasiasa, wafanyabiashara na wanahabari wakiwa ndani ya kinyang’anyiro hicho. Jiji hilo linaloundwa na majimbo 12 ya uchaguzi, imekuwa kiu ya watu wengi kuusaka ubunge kupitia majimbo hayo hasa Kawe, Kinondoni, Chamazi na Kigamboni. Kwa…

Read More