AFISA MTENDAJI MKUU WA AfD AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA BODI YA GPE MJINI PARIS LEO
Bwana Rémy Rioux, Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AfD), akizungumza mbele ya wajumbe wa Mkutano wa siku mbili wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (Global Partnership for Education – GPE) unaofanyika mjini Paris, Ufaransa, leo tarehe 3 Juni 2025, chini ya uenyekiti wa Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt….