Kipigo chaishtua Srelio, yafuata mastaa DR Congo
BAADA ya Srelio kufungwa na Pazi kwa pointi 81-73 katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL), kocha wa timu hiyo, Miyasi Nyamoko amesema wameamua kuwaita nyota wawili kutoka DR Congo ili waje kuokoa jahazi. Katika michezo ya awali ya mashindano hayo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Donbosco, Upanga, timu hiyo ilifungwa na Mchenga…