Wiki ya Maziwa: TBS Yaelimisha Umma Kuhusu Umuhimu wa Kusoma Vifungashio

WATUMIAJI wa bidhaa watakiwa kusoma maelezo yanayopatikana katika vifungashio vya bidhaa kabla ya kununua bidhaa husika hususani muda wa matumizi. Ushauri huo umetolewa na Afisa Udhibiti ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi. Sarah Maro, wakati akizungumza na watembeleaji kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Maziwa yaliyofanyika katika viwanja vya zimoto Manispaa ya…

Read More

UN inataka kutolewa kwa ‘haraka na bila masharti’ ya wafanyikazi wa misaada waliowekwa kizuizini nchini Yemen – maswala ya ulimwengu

Katika a taarifa Siku ya Jumatatu, António Guterres alilaani vikali kifo hicho akiwa kizuizini kwa mpango wa chakula duniani (WFP) mfanyikazi mapema mwaka huu. Houthis bado hawajatoa “maelezo ya janga hili mbaya,” António Guterres alisema, akifanya upya wito wake wa “uchunguzi wa haraka, wazi na kamili na uwajibikaji.” Ukosefu wa haki “UN na wenzi wake…

Read More

Utulivu watanda makanisa ya Askofu Gwajima

Dar/mikoani. Siku moja baada ya Serikali ya Tanzania kutangaza kulifuta Kanisa la Ufufuo na Uzima, hali imekuwa tofauti katika makanisa hayo mikoani kwa kila mmoja kusema lake. Uamuzi wa Serikali kulifuta kanisa hilo linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima ni kile kilichoelezwa na Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa ni ukiukwaji wa Sheria ya Jumuiya…

Read More

Shirika la Masoko ya Kariakoo Latangaza Fursa ya Kupata Maeneo ya Biashara Kupitia Mfumo wa TAUSI

SHIRIKA la Masoko ya Kariakoo linawataarifu wafanyabiashara pamoja na wananchi wote wanaohitaji maeneo ya kufanyia biashara katika Soko la Kariakoo kwamba sasa wanaweza kujisajili kwenye mfumo wa kielektroniki wa TAUSI PORTAL ili kushiriki katika mnada wa kupata maeneo hayo. Kupitia anwani ya www.tausi.tamisemi.go.tz, wafanyabiashara wataweza kuona maeneo yote ya biashara yaliyotangazwa kwa njia ya mnada….

Read More

ALAF yazindua rasmi mtambo wa mabati ya rangi

*Yathibitisha umakini wake katika ubora na viwango Tanzania KAMPUNI ya ALAF Limited, imezindua rasmi mtambo wake wa mabati ya rangi uliogharimu mabilioni ya shilingi Jijini Dar es Salaam Mtambo huo, uliogharimu zaidi ya Dola za Kimarekani milioni 25, unatarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika sekta ya ujenzi nchini na kuiokolea serikali zaidi ya Dola Milioni 190…

Read More

The Ngoma Africa Band aka FFU Ughaibuni Kutumbuiza katika International African Festival Tubingen Juni 7,2025 Ujerumani

BENDI maarufu ya muziki ya dansi barani ulaya The Ngoma Africa band yenye makao yake nchini ujerumani inayoongozwa na mwanamuziki nguli Kamanda Ras Makunja inatalajiwa kutingisha jukwaa la maonyesho makubwa ya International Afrika Festival Tubingen yatakayoanza siku ya tarehe 5 hadi 8 Juni 2025 katika mji wa Tubingen uliopo kusini mwa Ujerumani ambapo Ngoma Africa…

Read More

Joshua Mutale haamini kilichomkuta | Mwanaspoti

WINGA wa Simba, Joshua Mutale amesema bado haamini kama kaitwa timu ya taifa ya Zambia ‘Chipolopolo’ inayojiandaa kucheza mechi za kirafiki za kimataifa dhidi ya Tunisia na Sudan, akisema kwake imekuwa kama ni muujiza na imempa nguvu kupambana zaidi. Mutale ambaye ana asisti mbili Ligi Kuu pamoja na mabao manne yakiwamo matatu ya Kombe la…

Read More