BAADA ya kukwepa mtego wa kushuka Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema walikuwa na msimu mbaya, lakini wamegundua walipokosea na sasa
Month: June 2025

Unguja. Wananchi wa Zanzibar wametakiwa kuachana na muhali na kushirikiana kwa dhati na vyombo vya dola kuwafichua watu wakubwa wanaoingiza dawa za kulevya. Wito huo

Songea, Ruvuma Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amandius Jordan Tembo maarufu kama Toronto, leo tarehe 28 Juni 2026 amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi

LICHA ya uongozi wa Dodoma Jiji kumuwekea mkataba mpya wa miaka miwili mshambuliaji wa kikosi hicho, Paul Peter Kasunda, ila nyota huyo ameamua kutafuta changamoto

Unguja. Chama cha ACT Wazalendo kimeanza mchakato wa upigaji wa kura za maoni ili kuwapata wagombea wa nafasi ya ubunge, uwakilishi na udiwani utakaofanyika Oktoba

Katika kuadhimisha robo karne ya uwepo wake nchini na mafanikio makubwa tangu kuanzishwa kwake, Vodacom Tanzania PLC imeanzisha kampeni kabambe ya nchi nzima ijulikanayo kama

MSHAMBULIAJI wa Azam, Alassane Diao amesema tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara nyota waliompa wakati mgumu ni Ibrahim Bacca na Dickson Job. Raia huyo wa

Unguja. Licha ya kuwapo upungufu wa wataalamu wa afya, Wizara ya Afya Zanzibar imesema kuna ongezeko la madaktari bingwa kutoka 75 mwaka 2020 hadi 119

Mwanachama wa TAMWA, Betty Mkwasa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Juni 27, 2025 baada ya mapumziko ya mkutano mkuu wa

LICHA ya kucheza mechi iliyopita ya Ligi dhidi ya Simba, lakini taarifa kutoka katika kambi ya Yanga zinabainisha mshambuliaji huyo hali yake sio nzuri. Dube