Mgunda anyoosha maneno Bara | Mwanaspoti

BAADA ya kukwepa mtego wa kushuka Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema walikuwa na msimu mbaya, lakini wamegundua walipokosea na sasa wanajipanga kurudi imara 2025/26. Namungo imemaliza msimu ikiwa nafasi ya tisa baada ya kukusanya pointi 35, imeshinda mechi tisa, sare nane na kupoteza mechi 13 ikifunga mabao 28 na kuruhusu…

Read More

Wananchi watakiwa kufichua mapapa wa ‘unga’

Unguja. Wananchi wa Zanzibar wametakiwa kuachana na muhali na kushirikiana kwa dhati na vyombo vya dola kuwafichua watu wakubwa wanaoingiza dawa za kulevya. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Maryam Juma Sadala Juni 26, 2025, akizungumza baada ya kushiriki usafi katika Hospitali ya Wagonjwa wa Akili ya…

Read More

Straika aitosa Dodoma Jiji | Mwanaspoti

LICHA ya uongozi wa Dodoma Jiji kumuwekea mkataba mpya wa miaka miwili mshambuliaji wa kikosi hicho, Paul Peter Kasunda, ila nyota huyo ameamua kutafuta changamoto sehemu nyingine, huku akiishukuru timu hiyo kwa nafasi iliyompa kuitumikia kwa misimu mitatu. Nyota huyo amewashukuru mashabiki, viongozi, benchi la ufundi na kila mmoja aliyemuamini, huku akijivunia mafanikio na changamoto…

Read More

ACT Wazalendo waanza mchakato kura za maoni

Unguja. Chama cha ACT Wazalendo kimeanza mchakato wa upigaji wa kura za maoni ili kuwapata wagombea wa nafasi ya ubunge, uwakilishi na udiwani utakaofanyika Oktoba 2025. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufungua mchakato huo kwa Mkoa wa Kaskazini Unguja Juni 26, 2025, Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano ya Umma, Salim Bimani amesema…

Read More

Miaka 25 ya Vodacom: Kuadhimisha Uunganishwaji Kidijitali

Katika kuadhimisha robo karne ya uwepo wake nchini na mafanikio makubwa tangu kuanzishwa kwake, Vodacom Tanzania PLC imeanzisha kampeni kabambe ya nchi nzima ijulikanayo kama “Tupo Nawe, Tena na Tena.” Kampeni hii, itakayodumu kwa miezi minne, inalenga kuwakumbusha Watanzania jinsi Vodacom ilivyokuwa nao bega kwa bega katika kila hatua ya maisha yao. Kuanzia enzi za…

Read More

Diao anateseka kwa Bacca, Job

MSHAMBULIAJI wa Azam, Alassane Diao amesema tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara nyota waliompa wakati mgumu ni Ibrahim Bacca na Dickson Job. Raia huyo wa Senegal (22), ambaye ameichezea Azam misimu miwili mfululizo ameweka rekodi ya kufunga mabao matatu muda wote alioitumikia klabu hiyo amesema wachezaji hao ndio waliompa shida katika kukabiliana nao kwenye uwanja…

Read More

Madaktari bingwa Zanzibar wafikia 119

Unguja. Licha ya kuwapo upungufu wa wataalamu wa afya, Wizara ya Afya Zanzibar imesema kuna ongezeko la madaktari bingwa kutoka 75 mwaka 2020 hadi 119 mwaka huu huku juhudi za kusomesha madaktari bingwa zaidi zikiendelea. Hayo yameelezwa Alhamis Juni 26, 2025 na Mkurugenzi Tiba kutoka wizara hiyo, Dk Msafiri Marijani wakati akizungumza na waandishi wa…

Read More

TAMWA YALAANI UDHALILISHAJI WA WANAWAKE MTANDAONI, YASISITIZA HESHIMA NA HOJA KWA VIONGOZI WA KIKE

Mwanachama wa TAMWA, Betty Mkwasa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Juni 27, 2025 baada ya mapumziko ya mkutano mkuu wa TAMWA. Ameeleza namna TAMWA ilivyomsaidia katika kukomboa wasichana na wanawake waliokuwa wakikabiliwa cha changamoto za ukatili wa kijinsi. Na Avila Kakingo, Michuzi Tv CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kimetoa…

Read More

Dube azua hofu kambi ya Yanga fainali FA

LICHA ya kucheza mechi iliyopita ya Ligi dhidi ya Simba, lakini taarifa kutoka katika kambi ya Yanga zinabainisha mshambuliaji huyo hali yake sio nzuri. Dube aliyefunga mabao 13 katika Ligi Kuu Bara na mawili Kombe la FA, alipata majeraha ya nyama za paja Yanga ilipovaana na Tanzania Prisons uliochezwa Juni 18, 2025. Majeraha hayo yalimfanya…

Read More