Tambwe aipa ubingwa Singida Black Stars

BAADA ya kuikanda Simba kwa mabao 3-1 katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), Meneja wa Singida Black Stars aliyewahi kuitumikia timu hiyo miaka ya nyuma, Amissi Tambwe amesema haoni kitakachoizuia msimu huu kuandika historia ya kubeba ubingwa wa michuano hiyo. Ushindi huo uliopatikana wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, uliopo…

Read More

Yanga, Bodi ya Ligi waachana njia panda!

Dar es Salaam. Licha ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kutangaza tarehe mpya ya kuchezwa mechi ya marudiano kati ya Yanga na Simba, hali ya sintofahamu imeendelea kutanda upande wa Jangwani kuhusu hatma ya mchezo huo wa Kariakoo Dabi. Katika taarifa yao ya hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii, Yanga wameonyesha ratiba ya mechi zao…

Read More

Wanaume 305 wafunga uzazi, madaktari waeleza faida

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema jumla ya wanaume 305 kote nchini, wamejitokeza kufunga uzazi kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025. Hayo yamesemwa Juni 2, 2025 na Waziri wa Afya, Jenista Mhagama wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo, ililiomba kuiidhinishia Sh1.61 trilioni katika mwaka mwaka 2025/26 kwa ajili…

Read More