MRADI WA EACOP WAFIKIA ASILIMIA 60 YA UTEKELEZAJI

::::::: Na Janeth Mesomapya Utekelezaji wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP), unaojumuisha ujenzi wa bomba la urefu wa kilomita 1,443 kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga – Tanzania, umefikia asilimia 60 ya utekelezaji. Taarifa hiyo ilitolewa tarehe 2 Juni 2025, wakati Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma…

Read More

Polisi wazingira kanisa la Askofu Gwajima

Dar es Salaam. Ni ulinzi eneo lote! Ndiyo hali halisi ilivyo kwenye Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima, Ubungo Dar es Salaam. Kanisa hilo limezungushwa utepe wa njano wenye maandishi meusi huku askari polisi zaidi ya 20 wakiwa wamelizunguka kuimarisha ulinzi. Askari hao wenye silaha wametanda katika maeneo mbalimbali kuzunguka kanisa hilo…

Read More

Nabi akomaa na Ahoua, kuhusu Fei Toto ipo hivi

KOCHA wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Nasredine Nabi ameondoka nchini na kumtimkia Ulaya kwa mapumziko, lakini hapa Tanzania alimuacha skauti wao mmoja maalum kwa ajili ya kuwaangalia viungo wawili wa Simba. Nabi alipokuwa nchini kwa mambo yake binafsi alishuhudia mchezo wa Simba dhidi ya Singida Black Stars uliopigwa pale KMC Complex, wekundu hao wakishinda…

Read More

Mtasingwa kiroho safi Azam | Mwanaspoti

KIUNGO mkabaji wa Azam FC, Adolf Mtasingwa amesema licha ya timu hiyo kushindwa kufikia malengo kwa msimu huu ikiwamo kung’olewa mapema katika Kombe la Shirikisho (FA) na ile ya CAF, kwa upande wake ulikuwa msimu bora. Azam iliyoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika ilitolewa katika raundi ya kwanza na APR ya Rwanda, kisha ikang’olewa hatua ya…

Read More

Mokwena, Yanga ngoma nzito | Mwanaspoti

YANGA inaendelea kupasua kichwa juu ya kocha gani imchukue kwa ajili ya kulijenga upya benchi la ufundi la msimu ujao, na sasa ni kwamba kuna uwezekano mkubwa ikapoteza chaguo jingine la tatu kwenye mawindo hayo. Hesabu za Yanga zilikuwa kwa makocha watatu bora, ilianza na Marcel Koller aliyekuwa Al Ahly ya Misri lakini inaelezwa jamaa…

Read More

Waarabu watia mkono Yanga | Mwanaspoti

WAKATI Yanga ikijiandaa kumleta nchini beki wa kulia wa TP Mazembe na timu ya taifa ya Mauritanian, Ibrahima Keita, dili hilo limeanza kuingia gundu baada ya matajiri wa Tunisia kuingilia kati. Nyota huyo anayemaliza mkataba na TP Mazembe Juni 30, 2025, inaelezwa hivi karibuni atatua hapa nchini kwa ajili ya mazungumzo na Yanga kuhusu maslahi…

Read More

Nabi akomaa na Ahoua | Mwanaspoti

KOCHA wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Nasredine Nabi ameondoka nchini na kumtimkia Ulaya kwa mapumziko, lakini hapa Tanzania alimuacha skauti wao mmoja maalum kwa ajili ya kuwaangalia viungo wawili wa Simba. Nabi alipokuwa nchini kwa mambo yake binafsi alishuhudia mchezo wa Simba dhidi ya Singida Black Stars uliopigwa pale KMC Complex, wekundu hao wakishinda…

Read More

Annalena Baerbock wa Ujerumani alichaguliwa Rais wa Mkutano Mkuu wa 80 – Maswala ya Ulimwenguni

Yeye huchukua jukumu hilo kwa wakati mgumu, na mizozo inayoendelea, malengo ya maendeleo yanayosababisha, shinikizo za kifedha, na uteuzi ujao wa Katibu Mkuu. Bi Baerbock alipata kura 167 kufuatia kura ya siri. Mgombea wa kuandika Helga Schmid (pia kutoka Ujerumani) alipokea saba. Wajumbe kumi na nne walizuia. Anakuwa mwanamke wa kwanza kutoka kikundi cha magharibi…

Read More