Viongozi elimu ya juu watwishwa zigo la ajira kwa wahitimu

Dar es Salaam. Viongozi wa taasisi za elimu ya juu nchini Tanzania wamehimizwa kuzingatia maadili, weledi na uzalendo wakati wa utekelezaji wa majukumu yao. Pia, wametakiwa kutumia maarifa waliyonayo na ubunifu kuleta suluhu ya changamoto zinazozikabili taasisi hizo ikiwamo ile ya ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu, Juni 2, 2025 na…

Read More

Taasisi ya Vodacom Foundation Kuwekeza TZS Bilioni 3.25 Kwenye Elimu Kupitia Ushirikiano na Taasisi ya Elimu Tanzania na Twaweza Afrika Mashariki

-Ushirikiano wazinduliwa wakati wa ufunguzi wa Wiki ya AZAKI 2025 jijini Arusha, Tanzania. Dar es Salaam, 02 Juni 2025 — Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation leo umetangaza uwekezaji wa TZS bilioni 3.25 kwa kipindi cha miaka mitatu ili kuendeleza sekta ya elimu nchini Tanzania kupitia ushirikiano mpya na Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) na Twaweza…

Read More

CCM KUFADHILI KITABU CHA MZEE SONGAMBELE KUENZI HISTORIA YA NCHI, CHAMA NA SERIKALI

::::::: _Balozi Nchimbi atoa neno, akimwakilisha Dkt. Samia msibani_ Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kitabu alichoandika Alhaj Mzee Mohamed Mustafa Songambele kitakuwa mojawapo ya rejea adhimu za historia ya Tanzania.  Balozi Nchimbi amesema kuwa kitabu hicho kiitwacho “_*Safari ya Karne*_”, kina utajiri wa maelezo kuhusu mapambano ya…

Read More

Wafunzi Serengeti walilia mabweni | Mwananchi

Serengeti. Baadhi ya wanafunzi wa kike katika shule za sekondari wilayani Serengeti wameiomba Serikali na jamii kuwaondolea vikwazo vinavyosababisha washindwe kutimiza malengo yao hasa ya kielimu, ikiwemo ukosefu wa mabweni katika shule za Serikali. Wanafunzi hao wamesema licha ya Serikali kujitahidi kuboresha mazingira ya elimu bado wamekuwa wakikumbana na changamoto mbalimbali ikiwepo kutembea umbali mrefu…

Read More

DKT. YONAZI ATEMBELEA UWAKILISHI WA KUDUMU WA TANZANIA KATIKA OFISI ZA UMOJA WA MATAIFA GENEVA, AAZIMIA KUIMARISHA USHIRIKIANO

NA. MWANDISHI WETU – GENEVA USWISI Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi ametembelea Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Uswisi, ikiwa ni ziara yake ya kikazi nchini humo, lengo ni kushiriki Jukwaa la Nane la Dunia la Kupunguza Madhara ya Maafa linalofanyika kuanzia tarehe 2…

Read More

“Licha ya ubaguzi wa mizizi dhidi ya Dalits, mabadiliko ya kutia moyo yanaibuka kati ya vijana wa mijini ‘-maswala ya ulimwengu

na Civicus Jumatatu, Juni 2, 2025 Huduma ya waandishi wa habari JUN 02 (IPS)-Civicus anajadili changamoto zinazowakabili jamii ya Dalit ya Nepal na Rup Sunar, Mwenyekiti wa Initiative ya Heshima, shirika la utafiti na utetezi wa Kathmandu linalofanya kazi ili kutenganisha ubaguzi wa msingi wa sheria. Rup Sunar Dalits – Jamii ambayo kihistoria inakabiliwa na…

Read More

MRAJIS MSAIDIZI MANYARA ATAKA TIJA KWENYE USHIRIKA

MRAJIS Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Manyara, Absalom Cheliga,akizungumza wakati akifungua Mafunzo kwa Wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi kwa awamu ya pili Mwaka 2024/25 yaliyofanyika leo Juni 2,2025 Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara. MRAJIS Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Manyara, Absalom Cheliga,akizungumza…

Read More

WATU ZAIDI YA 900 KUSHIRIKI WIKI YA AZAKI KUANZIA KESHO ARUSHA

Na Seif Mangwangi, Arusha WIKI ya Asasi za kiraia 2025 (AZAKI) inaanza kesho jumatatu Juni2 hadi 6, 2025 Jijini Arusha huku washiriki zaidi ya 900 kutoka taasisi mbalimbali nchini ikiwemo mashirika na taasisi binafsi wakitarajiwa kushiriki. Akizungumza kwenye kikao na waandishi wa habari leo Juni1, 2025 jijini Arusha, Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation for civil society(FCS),…

Read More