Madeni ya Serikali kwa MSD yawaibua wabunge

Dodoma. Wabunge wameitaka Serikali kulipa deni la Bohari ya Dawa (MSD) linalofikia Sh739.2 bilioni ili kuulinda mnyororo wa ugavi na kuhakikisha huduma zinawafikia wananchi kwa wakati na kwa utoshelevu. Wabunge wameyasema hayo leo Jumatatu Juni 2, 2025 wakati Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi, Elibarick Kingu akiwasilisha makadirio…

Read More

Serikali yalifuta Kanisa la Askofu Gwajima, yeye asema…

Dar es Salaam. Serikali imetangaza kulifuta Kanisa la Ufufuo na Uzima, linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima, ikiwa ni siku moja tangu kiongozi huyo wa kiroho atangaze msimamo wake wa kuendelea kukemea vitendo vya utekaji na watu kupotea. Sababu ya uamuzi huo wa Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa ni kile kilichoelezwa kanisa hilo limekiuka…

Read More

Mageuzi yalivyotengeneza faida kwa kampuni zenye hali mbaya

Dar es Salaam. Mageuzi yaliyofanyika ndani ya mashirika ya umma ikiwamo kuunganisha na kufuta mengine, imetajwa kuwa na matokeo chanya kiasi cha kuongeza gawio litakalotolewa kwa Serikali. Hadi sasa Ofisi ya Msajili wa Hazina imeshakusanya zaidi ya Sh900 bilioni huku ikitarajiwa kufikisha Sh1 trilioni kabla ya Juni 10 mwaka huu ambalo ndilo gawio litakalowasilishwa kwa…

Read More

Maajabu sita ya Fiston Mayele Afrika

Jumapili, Juni Mosi, 2025, mshambuliaji wa zamani wa Yanga na AS Vita Club, Fiston Mayele aliiongoza Pyramids FC ya Misri kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya timu hiyo ya Misri kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini. Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Juni 30,…

Read More