Aucho, Mukwala wachemsha Uganda | Mwanaspoti

KIUNGO nyota wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala wamechemsha huko Uganda baada ya kushindwa kubeba tuzo  tuzo za mashabiki kwa wachezaji wanaocheza nje. Tuzo hizo zilizofanyika Mei 30, chini ya Shirikisho la Soka Uganda (FUFA), Aucho na Mukwala waliangushwa Rodgers Mato, aliyeibuka mshindi. Mato ambaye ni mshambuliaji anayeichezea klabu ya Vardar…

Read More

Dira ya maendeleo 2050, asasi za kiraia zafundwa

Arusha. Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC), Mercy Silla amezitaka asasi za kiraia nchini kuwa na mikakati ya kusogeza mbele ajenda za maendeleo ya nchi, ili kuhakikisha lengo la utoaji huduma shirikishi linatimizwa kwa wananchi wote. Silla ameyasema hayo leo Juni 2, 2025 jijini Arusha wakati wa ufunguzi rasmi wa wiki ya asasi…

Read More

KANISA LA UFUFUO NA UZIMA LAFUNGIWA

Msajili wa Jumuiya za Kiraia Emmanuel R. M. Kihampa ametoa taarifa ya kufungwa kwa shughuli za kanisa la Glory of Christ Tanzania Church maarufu kama Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima. Katika taarifa yake Kihampa ameandika; “katika siku za hivi karibuni, kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, umeonekana ukiwa…

Read More

Maonyesho ya Kilifair kuanza | Mwananchi

Arusha. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maonyesho ya Kimataifa ya Utalii ya Karibu Kili fair, yatakayofanyika jijini Arusha. Maonyesho hayo yatafanyika kuanzia Juni 6 hadi 8, 2025,katika viwanja vya Magereza (Kisongo) mkoani Arusha. Kauli hiyo imetolewa leo Juni 2,2025 na Mkuu wa Mkoa wa Arusha,…

Read More

Wawakilishi walia sheria ya uvuvi kuwanyanyasa wavuvi

Unguja. Wakati Wizara ya Uchumi wa Buluu ikisema ipo kwenye mchakato wa mwisho kufanyia marekebisho ya sheria ya uvuvi, wajumbe wa baraza la wawakilishi wametoa mapendekezo yao kuondoa vipengele ambavyo vimekuwa mwiba kwa wavuvi. Malalamiko hayo ya  sheria hiyo namba saba ya mwaka 2010 ni pamoja na kuzuia wavuvi kuingia na viatu baharini, kutumia vioo…

Read More

Jinyakulie Samsung A25 na Aviator Leo

WAKALI wa ubashiri Meridianbet wamekuletea ofa kubwa kabisa ya Aviator ambayo kupitia mchezo huu wa kasino unaweza ukajishindia simu mpya kali kabisa Samsung A25. Jiunge sasa kwenye kinyang’anyiro hiki mapema uibuke mshindi. Promoshnei hii imeanza siku ya jana ya tarehe 1 mwezi Juni na itatamatika tarehe 30 mwezi Juni mwaka huu huku nafasi ya wewe…

Read More