WAZIRI AWESO ATAKA WANANCHI WALINDE VYANZO VYA MAJI

…………………. Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amewataka wananchi kulinda mazingira ya vyanzo vya maji kwa kuacha kukata miti ovyo na kufanya shughuli za kibinadamu ili kuepuka ukame.  Ametoa wito huo mara baada ya kutembelea mabanda ya maonesho wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani leo Juni 2, 2025 yanayoendelea kwenye Viwanja vya Kituo…

Read More

KESI YA TUNDU LISSU YASOGEZWA MBELE

……………… Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya Jinai inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo -CHADEMA, Tundu Lissu hadi Juni 16, 2025, na kuagiza aendelee kushikiliwa rumande. Uamuzi huo umetolewa leo baada ya shauri hilo kutajwa mahakamani, ambapo upande wa Jamhuri uliomba muda zaidi wa upelelezi kukamilika. Ikumbukwe kuwa Lissu anakabiliwa na…

Read More

TAWA MGUU SAWA KUDHIBITI WANYAMAPORI WAKALI IKUNGI

…………….. Ester Maile Dodoma Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori(TAWA) imeanza kutekeleza mikakati ya kudhibiti makundi ya wanyamapori wakali na waharibifu hususan tembo katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Malisili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula(Mb) alipokuwa akijibu swali la  Miraji Jumanne Mtaturu ambaye alitaka kujua Serikali ina mpango gani wa…

Read More

Mahakama Kisutu Yatoa Onyo Kali Baada ya Tundu Lissu Kutamka Kauli ya Kisiasa Mahakamani

Na Karama Kenyunko, Michuzi Tv MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa onyo kali kwa mtu yeyote kutamka neno lolote bila ruhusa rasmi ya Mahakama baada hakimu kuwa ameshaingia mahakamani. Hatua hiyo imekuja kufuatia tukio la mshtakiwa ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, kuingizwa mahakamani kisha akanyoosha mkono juu na…

Read More

Serikali yalifuta Kanisa la Askofu Gwajima

Dar es Salaam. Serikali imetangaza kulifutia usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima, linalomilikiwa na Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, ikiwa ni siku moja tangu kiongozi huyo wa kiroho atangaze msimamo wake wa kuendelea kukemea vitendo vya utekaji na watu kupotea. Sababu ya uamuzi huo wa Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa ni kile…

Read More

Chadema kuamua kusuka au kunyoa

Dar es Salaam. Wakati Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ikitarajia kukutana kesho Jumanne, Juni 3, 2025, huenda ikatoka na uamuzi wa kusuka au kunyoa dhidi ya maelekezo ya Msajili wa Vyama vya Siasa. Chama hicho kimekuwa kikipita kwenye misukosuko tangu uchaguzi wake wa ndani Januari 21, 2025 na kupata uongozi mpya…

Read More