Wafanyabiashara wa Loliondo Kibaha wapangiwa maeneo mapya

Kibaha. Zaidi ya wafanyabiashara 1,000 katika mnada maarufu wa Loliondo Kibaha, Mkoa wa Pwani, wameanza kugawiwa maeneo mapya ya kufanyia biashara kila Jumamosi baada ya kuhamishwa kutoka eneo lao la awali. Hatua hii imekuja kufuatia uamuzi wa mamlaka husika kulipangia eneo hilo la zamani wauzaji wa matunda na mbogamboga, kwa lengo la kuimarisha mpangilio wa…

Read More

VIDEO: Kesi ya Lissu mubashara, mahakama kupokea ushahidi

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu Juni 2, 2025 inaanza kupokea ushahidi wa Serikali katika kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni, inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Katika kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Geoffrey Mhini, Lissu anakabiliwa na mashtaka matatu ya kuchapisha mitandaoni…

Read More

Maeneo ya kipaumbele Wizara ya Uchumi wa Buluu Zanzibar

Unguja. Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi imepanga kutekeleza vipaumbele 12 katika mwaka wa fedha 2025/26 ambavyo vitajikita katika mbinu, nyenzo, mitaji na utafutaji wa masoko kwa wajasiriamali na wananchi kwa ujumla. Katika vipaumbele hivyo, watawapatia wajasiriamali elimu, uelewa na ufahamu zaidi kuhusiana na fursa za uchumi wa buluu ili kukuza ubunifu, uwezo wa…

Read More

Manula katikati ya timu nne

AISHI Manula ni moja ya makipa bora zaidi kuwahi kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni. Hakuna ubishi kuwa ubora wake ulionekana kuanzia akiwa na Azam FC, Simba wakamuona na kumchukua kwenye timu yao kwa ajili ya michuano ya kimataifa. Kiwango chake kwenye klabu pamoja na timu ya Taifa, Taifa Stars ni kielelezo tosha…

Read More

Serikali kuboresha mifumo ya takwimu za afya

Dar es Salaam. Serikali kwa kushirikiana na wadau imeanzisha mfumo wa kuimarisha ukusanyaji wa takwimu za vizazi na vifo, zitakazounganishwa na mifumo mingine ya Serikali ili isomane. Akizungumza leo Jumatatu, Juni 2, 2025 katika ufunguzi wa mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema Serikali inachokikusudia katika mfumo huo ni kutambua…

Read More

Wanaume wanavyoteseka na vipele hivi

Takribani asilimia moja ya wanaume waliopo kwenye uhusiano wa kingono huathiriwa na vipele kwenye sehemu zao za siri baada ya kuathiriwa na ugonjwa unaofahamika kama ‘genital warts. Vipele hivi visivyo na maumivu huenea kwa kasi hasa kwa wanaume vijana wanaoshiriki ngono. Isitoshe, sababu ya unyanyapaa wa ugonjwa huu, wanaume wengi huwa na wasiwasi mwingi wanapotambuliwa kuugua…

Read More