Kibaha. Zaidi ya wafanyabiashara 1,000 katika mnada maarufu wa Loliondo Kibaha, Mkoa wa Pwani, wameanza kugawiwa maeneo mapya ya kufanyia biashara kila Jumamosi baada ya
Month: June 2025

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu Juni 2, 2025 inaanza kupokea ushahidi wa Serikali katika kesi ya kuchapisha taarifa za uongo

Unguja. Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi imepanga kutekeleza vipaumbele 12 katika mwaka wa fedha 2025/26 ambavyo vitajikita katika mbinu, nyenzo, mitaji na utafutaji

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amezua jambo baada ya kutamka kaulimbiu ya chama hicho kupinga uchaguzi ya

Na mwandishi wetu, DODOMA WAZIRI wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amewataka wananchi kulinda mazingira ya vyanzo vya maji kwa kuacha kukata miti ovyo na kufanya

AISHI Manula ni moja ya makipa bora zaidi kuwahi kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni. Hakuna ubishi kuwa ubora wake ulionekana kuanzia akiwa

Wanahisa wa Benki ya Mwanga Hakika (MHB) wameeleza kuridhishwa kwao na ongezeko kubwa la faida la asilimia 53 pamoja na mipango mkakati ya benki hiyo

Dar es Salaam. Serikali kwa kushirikiana na wadau imeanzisha mfumo wa kuimarisha ukusanyaji wa takwimu za vizazi na vifo, zitakazounganishwa na mifumo mingine ya Serikali

Takribani asilimia moja ya wanaume waliopo kwenye uhusiano wa kingono huathiriwa na vipele kwenye sehemu zao za siri baada ya kuathiriwa na ugonjwa unaofahamika kama ‘genital

Wakazi wa eneo la Mokwa wameeleza kwa BBC jinsi mafuriko yalivyokumba mji wao kwa ghafla na kusababisha uharibifu mkubwa.Idadi rasmi ya vifo