Unguja. Kutokana na changamoto ya upatikanaji wa mawe na mchanga kisiwani hapo, Serikali ina mpango wa kusafirishia madini hayo kutoka Tanzania Bara na kuyaleta hapa
Month: June 2025

WAKULIMA wa Zabibu Kata ya Mpunguzi, Jijini Dodoma wameeleza kunufaika na Kilimo cha zabibu kutokana na kuongezeka kwa tija wanayoipata katika mnyororo mzima wa thamani

Dar es Salaam. Bado Tunaendelea na usajili wa vigogo, hii ndio kauli iliyotamkwa na viongozi wa ACT Wazalendo. Kauli hiyo imekuja muda mfupi baada ya

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv MWANACHAMA mkongwe wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Betty Mkwasa, amepongeza mchango mkubwa wa TAMWA katika kumjengea ujasiri, umahiri

KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopokea Warriors Queens kutoka kwa Sauti Sisters, kimeifanya timu hiyo kuwa na hali mbaya zaidi kwenye msimamo wa Ligi Kuu Soka

……,….,… Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Dkt. Ackson (Mb) amepokea Juzuu za Sheria

Kwa miongo kadhaa, kusaidia nchi zilizoendelea kuendeleza kumeonekana kuwa na faida kwa jamii ya kimataifa kwa ujumla, na pia jukumu la nchi zilizo na rasilimali

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uchumi wa Tanzania umeongezeka kutoka ukuaji wa asilimia 3.9 mwaka 2021 hadi 5.5 mwaka 2024, huku mwaka

Aliyekuwa Diwani wa Msasani na mfanyabiashara maarufu, Bw Luca Hakim Neghesti, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania Ubunge wa

BAADA ya kumalizana na kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba aliyekuwa Napsa Stars ya Zambia, Larry Bwalya, Pamba Jiji imeendelea kufanya yake kimyakimya ikidaiwa inazungumza