Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 23
Habari

Mawe ya ujenzi Zanzibar kuagizwa Tanzania Bara

June 28, 2025 Admin

Unguja. Kutokana na changamoto ya upatikanaji wa mawe na mchanga kisiwani hapo, Serikali ina mpango wa kusafirishia madini hayo kutoka Tanzania Bara na kuyaleta hapa

Read More
Habari

Kilimo cha Zabibu chawanufaisha Wakulima Dodoma

June 28, 2025 Admin

WAKULIMA wa Zabibu Kata ya Mpunguzi, Jijini Dodoma wameeleza kunufaika na Kilimo cha zabibu kutokana na kuongezeka kwa tija wanayoipata katika mnyororo mzima wa thamani

Read More
Habari

Kaboyoka: Nimekuja ACT Wazalendo na watu, tutaishangaza dunia Oktoba 2025

June 28, 2025 Admin

Dar es Salaam. Bado Tunaendelea na usajili wa vigogo, hii ndio kauli iliyotamkwa na viongozi wa ACT Wazalendo. Kauli hiyo imekuja muda mfupi baada ya

Read More
Habari

Betty Mkwasa Aelezea Mchango wa TAMWA Katika Safari Yake ya Uongozi

June 28, 2025 Admin

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv MWANACHAMA mkongwe wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Betty Mkwasa, amepongeza mchango mkubwa wa TAMWA katika kumjengea ujasiri, umahiri

Read More
Michezo

Sauti Sisters yazidi kulizamisha jahazi la Warriors Queens

June 28, 2025 Admin

KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopokea Warriors Queens kutoka kwa Sauti Sisters, kimeifanya timu hiyo kuwa na hali mbaya zaidi kwenye msimamo wa Ligi Kuu Soka

Read More
Habari

JUZUU LENYE SHERIA ZOTE LAKABIDHIWA KWA DKT TULIA

June 28, 2025 Admin

……,….,… Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)  Dkt. Ackson (Mb) amepokea Juzuu za Sheria

Read More
Kimataifa

Uhispania hufanya kesi hiyo kwa ufadhili wa maendeleo – maswala ya ulimwengu

June 28, 2025 Admin

Kwa miongo kadhaa, kusaidia nchi zilizoendelea kuendeleza kumeonekana kuwa na faida kwa jamii ya kimataifa kwa ujumla, na pia jukumu la nchi zilizo na rasilimali

Read More
Habari

Uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia sita

June 28, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uchumi wa Tanzania umeongezeka kutoka ukuaji wa asilimia 3.9 mwaka 2021 hadi 5.5 mwaka 2024, huku mwaka

Read More
Habari

Diwani wa zamani Kata ya Msasani, Neghesti achukua fomu kuwania Ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia CCM’

June 28, 2025 Admin

Aliyekuwa Diwani wa Msasani na mfanyabiashara maarufu, Bw Luca Hakim Neghesti, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania Ubunge wa

Read More
Michezo

Pamba Jiji yaendelea kusajili kimya kimya

June 28, 2025 Admin

BAADA ya kumalizana na kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba aliyekuwa Napsa Stars ya Zambia, Larry Bwalya, Pamba Jiji imeendelea kufanya yake kimyakimya ikidaiwa inazungumza

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 22 23 24 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.