Mawe ya ujenzi Zanzibar kuagizwa Tanzania Bara

Unguja. Kutokana na changamoto ya upatikanaji wa mawe na mchanga kisiwani hapo, Serikali ina mpango wa kusafirishia madini hayo kutoka Tanzania Bara na kuyaleta hapa kwa lengo la kupunguza changamoto hiyo. Serikali imesema imejipanga kuhakikisha kuwa mawe na mchanga utakaotolewa Tanzania bara yanapatikana kwa gharama nafuu ili wananchi kuendeleza shughuli za ujenzi na miradi uwekezaji….

Read More

Kilimo cha Zabibu chawanufaisha Wakulima Dodoma

WAKULIMA wa Zabibu Kata ya Mpunguzi, Jijini Dodoma wameeleza kunufaika na Kilimo cha zabibu kutokana na kuongezeka kwa tija wanayoipata katika mnyororo mzima wa thamani wa zao hilo la kibiashara ambalo wanasema upatikanaji wa soko la bidhaa zake zilizoongezewa thamani ni mkubwa. Hayo yamesemwa Leo Juni 26, 2025 na Mwenyekiti wa Umoja wa Wakulima wa…

Read More

Betty Mkwasa Aelezea Mchango wa TAMWA Katika Safari Yake ya Uongozi

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv MWANACHAMA mkongwe wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Betty Mkwasa, amepongeza mchango mkubwa wa TAMWA katika kumjengea ujasiri, umahiri na uongozi, ambao ulimwezesha kufanikisha mafanikio makubwa katika uandishi wa habari na katika nafasi za kiuongozi serikalini, ikiwemo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

JUZUU LENYE SHERIA ZOTE LAKABIDHIWA KWA DKT TULIA

……,….,… Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)  Dkt. Ackson (Mb) amepokea Juzuu za Sheria kutoka kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali  Hamza Johari (Mb), leo tarehe 26 Juni, 2025. Juzuu hizo ni mkusanyiko wa Sheria zote zilizotungwa katika Bunge la 12.  Spika ameipongeza Ofisi ya…

Read More

Uhispania hufanya kesi hiyo kwa ufadhili wa maendeleo – maswala ya ulimwengu

Kwa miongo kadhaa, kusaidia nchi zilizoendelea kuendeleza kumeonekana kuwa na faida kwa jamii ya kimataifa kwa ujumla, na pia jukumu la nchi zilizo na rasilimali zaidi. Walakini, falsafa hii inapingwa na mataifa mengine tajiri, ambayo yameamua kupunguza au hata kumaliza fedha kwa miradi na mipango iliyoundwa iliyoundwa kusaidia nchi masikini za Global Kusini katika majaribio…

Read More

Uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia sita

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uchumi wa Tanzania umeongezeka kutoka ukuaji wa asilimia 3.9 mwaka 2021 hadi 5.5 mwaka 2024, huku mwaka huu ukuaji ukitarajiwa kufikia asilimia sita. Amesema ukuaji huo upo juu ya wastani wa ukuaji kwa bara la Afrika ambalo ni asilimia nne pekee mwaka 2024. Rais Samia ametoa kauli…

Read More

Diwani wa zamani Kata ya Msasani, Neghesti achukua fomu kuwania Ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia CCM’

Aliyekuwa Diwani wa Msasani na mfanyabiashara maarufu, Bw Luca Hakim Neghesti, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania Ubunge wa Jimbo la Kigamboni. Bw Neghest ni mjasiriamali mwenye mafanikio, mwanzilishi wa taasisi mbalimbali zikiwemo Bongo5 Media na amekuwa na mchango mkubwa katika masuala ya maendeleo katika Kata ya Msasani. Bw…

Read More

Pamba Jiji yaendelea kusajili kimya kimya

BAADA ya kumalizana na kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba aliyekuwa Napsa Stars ya Zambia, Larry Bwalya, Pamba Jiji imeendelea kufanya yake kimyakimya ikidaiwa inazungumza na mshambuliaji Umar Abba, huku ikimpa mkataba wa miaka mwili John Mbise aliyekuwa Geita Gold. Pamba Jiji iliyomaliza nafasi ya 11 katika Ligi Kuu Bara ikivuna pointi 34 imeanza kuboresha…

Read More