RC Mtambi: Achaneni na imani za kishirikina machimboni
Musoma. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi amewataka wachimbaji wa madini hasa wadogo kuepuka kufanya shughuli zao kwa kutegemea imani za kishirikina badala yake wafanye kisayansi na teknolojia ili kupata tija zaidi. Kanali Mtambi ametoa agizo hilo leo Jumatatu Juni 2, 2025 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kongamano na maonyesho ya…