
Waliofaulu usaili Jeshi la Polisi waitwa kuripoti
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Tanzania limewataka vijana waliochaguliwa kujiunga nalo kuripoti katika Shule ya Polisi Moshi kuanzia Juni 12 hadi 14, 2025 kwa ajili ya kuhudhuria mafunzo. Vijana hao, ni wale waliofanya maombi na kufaulu katika usaili uliofanyika katika maeneo mbalimbali nchini. Taarifa ya wito huo, imetolewa jana Jumapili Juni 1, 2025 na…