Dar Sprint yamtega tena Birdi Tanganyika Packers

BAADA ya kushinda mashindano matatu mfululuzo ya mbio za magari hadi nusu ya mwaka huu, Manveer Birdi atakuwa na mtihani mwingine mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Tanganyika Packers kuthibitisha ubora wake nyuma ya usukani. Toyota Dar Sprint, mbio fupi za mzunguko, ndiyo mtihani ambao Birdi anatakiwa kuushinda na kuudhihirisha umma kuwa yeye ndiye mbabe…

Read More

Beki KMC mambo bado Al Hilal

BEKI wa pembeni wa KMC, Raheem Shomary aliyeripotiwa kupewa ruksa ya kwenda kujiunga na Al Hilal ya Sudan, amekiri mambo bado, kwani hakijaeleweka, ila anajipa moyo muda si mrefu kila kitu kitakaa sawa. Nyota huyo aliyeibuka Mchezaji Bora Chipukizi kwa msimu wa 2023-2024, alikuwa katika hatua za mwisho kumalizana na Al Hilal ya Sudan, lakini…

Read More

Mgunda afichua kilichomtoa AS Vita

BAADA  kimya cha muda mrefu cha mshambuliaji Ismail Mgunda, hatimaye ameelezea sababu ya kuachana na AS Vita ya DR Congo aliyokuwa imemsajili akitokea Mashujaa inayocheza Ligi Kuu Bara. Mgunda wakati yupo Mashujaa alifunga mabao mawili na asisti nne, aliliambia Mwanaspoti juu ya safari nzima ilivyokuwa hadi kutemana na AS Vita ndani ya muda mfupi kwani…

Read More

Faili la Jonathan Sowah latua kwa MO

KABLA hata dirisha la usajili halijatangazwa kufunguliwa, mabosi wa klabu kubwa za soka nchini wameanza kazi kimyakimya kusaka nyota wapya kwa msimu ujao, huku faili ya straika wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah likitua kwa bilionea wa Simba, Mohammed ‘MO’ Dewji. Nyota huyo wa kimataifa kutoka Ghana, awali amekuwa akihusishwa na Yanga iliyoelezwa ilijifungia naye…

Read More

Dili la Diarra kutimka Yanga lipo hivi!

PENGINE taarifa hii itawashusha presha mashabiki wa Yanga, wanaoianza wiki ya kwanza ndani ya Juni, baada ya kubainika kuwa, lile dili la kipa namba moja wa timu hiyo, Djigui Diarra anayetakiwa na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini limeota mbawa baada ya kuondolewa rasmi katika hesabu za mabosi. Iko hivi. Kaizer Chiefs ilikuwa na hesabu za…

Read More

WIKI YA AZAKI 2025, KUJADILI DIRA YA MAENDELEO YA TAIFA.

  Na Jane Edward, Arusha  Asasi za kiraia nchini Tanzania zinatarajia kuanza Wiki ya AZAKI 2025 (CSO Week 2025), itakayo jadili Dira ya maendeleo ya Taifa pamoja na kuwakutaniaha wadau Mbalimbali ambapo zaidi ya washiriki 800 wanatarajiwa kushiriki. Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Wiki ya AZAKI na Mkurugenzi Mkazi…

Read More

Sababu Zinazowafanya Wanawake Wasiolewe Zipo Hapa – Global Publishers

IJUMAA nyingine tunakutana kwenye kilinge chetu cha kupeana mambo mbalimbali yahusuyo maisha ya uhusiano. Ili uishi vizuri na mwenzi wako ni vizuri kujitathimini, kujisahihisha pale unapoona unakosea.  Hakuna sababu ya kujifanya mbishi, hakuna mtu anayejua kila kitu hivyo ni vyema kujifunza. Usijifanye mwamba, tenga muda wako kujifunza mambo mapya kila siku. Ndugu zangu, leo nitazungumza…

Read More

KESI YA LISSU KURUSHWA MUBASHARA ( LIVE)

 :::::: Mahakama ya Tanzania imesema Shauri la Jinai Namba 8606/2025 na Namba 8607/2025 kati ya Jamhuri na Tundu Lissu, ambayo yamepangwa kutajwa na kusikilizwa Juni 2, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mwenendo wote utarushwa mubashara (live) na pia Mshtakiwa atafikishwa Mahakamani Taarifa ya Mahakama imeeleza, lengo ni kuwawezesha Wananchi kufuatilia bila kuwa na…

Read More

Othman: Wazanzibari msifanye makosa Oktoba, chagueni  ACT-Wazalendo ikasimamie rasilimali

Unguja. Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud amewataka Wazanzibari kutofanya makosa katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba kwa kuhakikisha wanakichagua chama hicho ili kikasimamie rasilimali zitakazowanufaisha watu wote. Masoud ambaye ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema licha ya kisiwa hicho kubarikiwa rasilimali za kutosha bado baadhi ya wananchi wanakabiliwa na umaskini, hata wale…

Read More