WANAFUNZI NA WAKUFUNZI WAIBUKA WASHINDI WA TEHAMA

Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI na wakufunzi wa vyuo TEHAMAvikuu kutoka Tanzania wameibuka washindi katika shindano la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) la Huawei lililofanyika jijini Shenzhen China, likishirikisha washindani 210,000 kutoka mataifa mbalimbali duniani. Wanafunzi hao ni kutoka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), na Chuo…

Read More

MAJALIWA ASHUHUDIA TUZO ZA WANAMICHEZO KIMATAIFA

  :::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 01, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika tuzo za wanamichezo waliofanya vizuri katika mashindano ya kimataifa zinazoandaliwa na Baraza la Michezo Taifa. Lengo la tuzo hizo ni kuwaenzi na kuwatambua watanzania wanaiowakilisha nchi katika michezo mbalimbali duniani na kuiletea sifa Tanzania kwa maslahi yao na…

Read More

Mapya kesi za Lissu, Mahakama yatoa utaratibu zitakavyosikilizwa

Dar es Salaam. Mahakama ya Tanzania imesema kuwa mwenendo wa kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu itarushwa mubashara ‘Live’ kupitia chaneli ya Mahakama hiyo. Lissu alikamatwa mkoani Ruvuma mwezi uliopita na kushtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, katika kesi mbili tofauti ya  uhaini, mashitaka…

Read More

Heche: Tanga inafaa kwa fursa za  kiuchumi

Korogwe. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amesema Tanga inafaa siyo tu kuwa mji wa bandari na viwanda kama ulivyo Guangzhou nchini China, bali maisha na maendeleo ya wakazi wake yanatakiwa kuakisi fursa za kiuchumi zinazopatikana mkoani humo. Kiongozi huyo ambaye yuko kwenye ziara ya kampeni ya chama hicho…

Read More

Hamisa Mobetto ndani ya uzi wa Wydad

SIKU chache tangu, kiungo mshambuliaji wa zamani wa Yanga anayekipiga Wydad Casablanca ya Morocco, Stephane Aziz KI, mkewe ambaye ni  mrembo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto ametupia picha kadhaa akiwa ametinga uzi wa klabu hiyo ya Morocco. Hamisa alikuwa uwanjani jana wakati Wydad ikivaana na FC Porto, ambapo Aziz Ki kuingia uwanjani kwa mara ya kwanza…

Read More