Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 233
Habari

TAASISI YA CHAGEI MKOANI RUVUMA YAFANYA USAFI WA FUKWE YA ZIWA NYASA -MBAMBA-BAY

June 1, 2025 Admin

Nyasa-Ruvuma. Katika kuadhimisha na kuelekea kilele Cha wiki ya Mazingira Duniani ambapo kilele ni Tar 05/6 Kila mwaka Taasisi ya Chagei kwa kushirikiana na Mkurugenzi

Read More
Habari

Serikali yanunua pikipiki 700 kwa ajili ya maofisa mifugo

June 1, 2025 Admin

Morogoro. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Ashatu Kijaji amesema tayari Serikali imenunua pikipiki 700 ambazo zitagaiwa kwa maofisa mifugo kwenye halmashauri zote nchini, ili

Read More
Habari

WANAFUNZI NA WAKUFUNZI WAIBUKA WASHINDI WA TEHAMA

June 1, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI na wakufunzi wa vyuo TEHAMAvikuu kutoka Tanzania wameibuka washindi katika shindano la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) la Huawei lililofanyika

Read More
Habari

MAJALIWA ASHUHUDIA TUZO ZA WANAMICHEZO KIMATAIFA

June 1, 2025 Admin

  :::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 01, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika tuzo za wanamichezo waliofanya vizuri katika mashindano ya

Read More
Habari

Mapya kesi za Lissu, Mahakama yatoa utaratibu zitakavyosikilizwa

June 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Tanzania imesema kuwa mwenendo wa kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu itarushwa mubashara ‘Live’

Read More
Habari

MAELFU DAR WAPAGAWA NA TAMASHA LA NYAMA CHOMA SOKO LA KUMBILAMOTO

June 1, 2025 Admin

Na Said Mwishehe MAELFU ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika tamasha la nyama choma ambalo limefanyika katika soko la

Read More
Habari

Mkongwe wa siasa, rafiki wa Nyerere afariki dunia akiwa na umri wa miaka 100

June 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe na shujaa wa harakati za uhuru wa Tanganyika, Alhaj Mustafa Mohamed Songambele, amefariki dunia siku chache baada ya kutimiza umri

Read More
Habari

Damu nzito kuliko maji, viungo vya binadamu vilivyogundulika baada ya choo kuziba

June 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Waswahili wana usemi usemao, damu nzito kuliko maji, ndivyo unavyoweza kuamini namna damu ya Edward Massawe ilivyohangaika hadi viungo vya mwili wake

Read More
Habari

Heche: Tanga inafaa kwa fursa za  kiuchumi

June 1, 2025 Admin

Korogwe. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amesema Tanga inafaa siyo tu kuwa mji wa bandari na viwanda kama

Read More
Michezo

Hamisa Mobetto ndani ya uzi wa Wydad

June 1, 2025 Admin

SIKU chache tangu, kiungo mshambuliaji wa zamani wa Yanga anayekipiga Wydad Casablanca ya Morocco, Stephane Aziz KI, mkewe ambaye ni  mrembo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 232 233 234 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.