Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 234
Habari

Watuhumiwa wanane wa unyang’anyi wakamatwa Zanzibar

June 1, 2025 Admin

Unguja. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linawashikilia watu wanane kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya unyang’anyi, kati ya hao watatu walijihusisha na

Read More
Habari

Ofisa TFS Kibiti kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji

June 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mtumishi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Idara ya Maliasili Wilaya ya Kibiti, mkoani Pwani, anatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote

Read More
Michezo

Vyombo vya habari vyahimizwa kuzingatia usawa wa kijinsia

June 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Vyombo vya habari nchini Tanzania vimetakiwa kuzingatia usawa wa kijinsia kuanzia uratibu wa ndani ya vyombo hivyo hadi uripotiji wa habari zake.

Read More
Kimataifa

Kama AI inavyotokea, shinikizo linaongezeka kudhibiti ‘roboti za muuaji’ – maswala ya ulimwengu

June 1, 2025 Admin

Kila siku, kwa hiari tunaacha habari juu yetu wenyewe kwa mashine. Hii hufanyika wakati tunakubali kuki mkondoni au tumia injini ya utaftaji. Hatufikirii wazi jinsi

Read More
Michezo

Hatuchezi yachukua sura mpya | Mwanaspoti

June 1, 2025 Admin

MSISITIZO wa Yanga wa kutocheza Dabi ya Kariakoo bado upo palepale. Inaelezwa kuwa Yanga, haitacheza Dabi ya Kariakoo Juni 15 mwaka huu dhidi ya Simba

Read More
Michezo

Tanzania yapania taji Kwibuka T20

June 1, 2025 Admin

TIMU ya taifa ya Kriketi ya Wanawake imewasili, Rwanda tayari kwa michuano ya kriketi ya mizunguko 20 ijulikanayo kama Kwibuka Women T20 inayoanza kesho Jumanne

Read More
Michezo

Kichuya arusha taulo mapema Ligi Kuu

June 1, 2025 Admin

KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya ametupa taulo mapema kwa kusema kwa ugumu wa Ligi Kuu msimu huu ulivyo hana wa kulaumu na badala

Read More
Michezo

Mwalimu anaingia katika mfumo | Mwanaspoti

June 1, 2025 Admin

KITENDO cha mshambuliaji wa Kitanzania, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ kucheza dakika 10 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kati ya Wydad AC na Sevilla, kimewaibua makocha

Read More
Michezo

Sababu ya Mabula kurejeshwa Taifa Stars

June 1, 2025 Admin

MWEZI uliopita Mwanaspoti iliandika uchambuzi namna kiungo Alphonce Mabula anavyoitaka namba kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ baada ya kukosekana kwa takribani miaka

Read More
Habari

Waliohukumiwa miaka 30 kwa kusafirisha mirungi waachiwa huru

June 1, 2025 Admin

Arusha. Mahakama ya Rufaa imewaachia huru watu wawili waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 233 234 235 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.