Unguja. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linawashikilia watu wanane kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya unyang’anyi, kati ya hao watatu walijihusisha na
Month: June 2025

Dar es Salaam. Mtumishi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Idara ya Maliasili Wilaya ya Kibiti, mkoani Pwani, anatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote

Dar es Salaam. Vyombo vya habari nchini Tanzania vimetakiwa kuzingatia usawa wa kijinsia kuanzia uratibu wa ndani ya vyombo hivyo hadi uripotiji wa habari zake.

Kila siku, kwa hiari tunaacha habari juu yetu wenyewe kwa mashine. Hii hufanyika wakati tunakubali kuki mkondoni au tumia injini ya utaftaji. Hatufikirii wazi jinsi

MSISITIZO wa Yanga wa kutocheza Dabi ya Kariakoo bado upo palepale. Inaelezwa kuwa Yanga, haitacheza Dabi ya Kariakoo Juni 15 mwaka huu dhidi ya Simba

TIMU ya taifa ya Kriketi ya Wanawake imewasili, Rwanda tayari kwa michuano ya kriketi ya mizunguko 20 ijulikanayo kama Kwibuka Women T20 inayoanza kesho Jumanne

KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya ametupa taulo mapema kwa kusema kwa ugumu wa Ligi Kuu msimu huu ulivyo hana wa kulaumu na badala

KITENDO cha mshambuliaji wa Kitanzania, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ kucheza dakika 10 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kati ya Wydad AC na Sevilla, kimewaibua makocha

MWEZI uliopita Mwanaspoti iliandika uchambuzi namna kiungo Alphonce Mabula anavyoitaka namba kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ baada ya kukosekana kwa takribani miaka

Arusha. Mahakama ya Rufaa imewaachia huru watu wawili waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi