Watuhumiwa wanane wa unyang’anyi wakamatwa Zanzibar

Unguja. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linawashikilia watu wanane kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya unyang’anyi, kati ya hao watatu walijihusisha na tukio la hivi karibuni lililosambaa katika picha mjongeo mitandaoni.  Picha hiyo ilionyesha mtu mmoja akivamiwa na kundi la watu waliovaa mavazi meusi ya mabaibui, wakiwa na silaha za mapanga na…

Read More

Ofisa TFS Kibiti kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji

Dar es Salaam. Mtumishi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Idara ya Maliasili Wilaya ya Kibiti, mkoani Pwani, anatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote kuanzia sasa, akituhumiwa kumuua Haji Mnette kwa kumgonga na gari. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya mtuhumiwa kukamatwa na kuwekwa mahabusu kwa agizo la Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Kanali Joseph…

Read More

Vyombo vya habari vyahimizwa kuzingatia usawa wa kijinsia

Dar es Salaam. Vyombo vya habari nchini Tanzania vimetakiwa kuzingatia usawa wa kijinsia kuanzia uratibu wa ndani ya vyombo hivyo hadi uripotiji wa habari zake. Imeelezwa usawa unaanzia kwa wafanyakazi, habari zisizogandamiza jinsia sambamba na kusimamia vyema sera za jinsia za vyombo hivyo. Wito huo umetolewa na Profesa Nancy Booker, Dean wa Shule ya wahitimu…

Read More

Kama AI inavyotokea, shinikizo linaongezeka kudhibiti ‘roboti za muuaji’ – maswala ya ulimwengu

Kila siku, kwa hiari tunaacha habari juu yetu wenyewe kwa mashine. Hii hufanyika wakati tunakubali kuki mkondoni au tumia injini ya utaftaji. Hatufikirii wazi jinsi data yetu inauzwa na kutumika kabla ya kubonyeza “Kukubaliana” kufika kwenye ukurasa tunaotaka, tukijua kuwa itatumika kutulenga kama watumiaji na kutushawishi kununua kitu ambacho hatukujua tunahitaji. Lakini vipi ikiwa mashine…

Read More

Hatuchezi yachukua sura mpya | Mwanaspoti

MSISITIZO wa Yanga wa kutocheza Dabi ya Kariakoo bado upo palepale. Inaelezwa kuwa Yanga, haitacheza Dabi ya Kariakoo Juni 15 mwaka huu dhidi ya Simba hadi haki yao ipatikane baada ya  mechi hiyo kuahirishwa awali Machi 8. Bodi ya Ligi iliahirisha mechi mechi awali muda mfupi baada ya Simba kutishia kuichezea kwa madai ya kuzuiwa…

Read More

Tanzania yapania taji Kwibuka T20

TIMU ya taifa ya Kriketi ya Wanawake imewasili, Rwanda tayari kwa michuano ya kriketi ya mizunguko 20 ijulikanayo kama Kwibuka Women T20 inayoanza kesho Jumanne jijini Kigali, ikitarajiwa kufikia tamati Juni 14. Ni mashindano maalum ya kukumbuka miaka 31 tangu Mauaji ya Kimbari  ya Rwanda yaliyotokea mwaka 1994, ambapo nchi nyingine zinazoshiriki ni Brazil, Cameroon,…

Read More

Kichuya arusha taulo mapema Ligi Kuu

KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya ametupa taulo mapema kwa kusema kwa ugumu wa Ligi Kuu msimu huu ulivyo hana wa kulaumu na badala yake anapaswa kujipanga upya kwa msimu ujao wa 2025-2026 ili afanye vizuri na kutimiza malengo. Kichuya aliyefunga mabao manne na asisti tatu alisema: “Panapo majaliwa ya uhai natamani msimu ujao…

Read More

Mwalimu anaingia katika mfumo | Mwanaspoti

KITENDO cha mshambuliaji wa Kitanzania, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ kucheza dakika 10 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kati ya Wydad AC na Sevilla, kimewaibua makocha wakimsifu kuwa anaingia kwenye mfumo wa timu hiyo taratibu. Wydad imecheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Sevilla na Porto kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Klabu Bingwa ya…

Read More

Sababu ya Mabula kurejeshwa Taifa Stars

MWEZI uliopita Mwanaspoti iliandika uchambuzi namna kiungo Alphonce Mabula anavyoitaka namba kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ baada ya kukosekana kwa takribani miaka minne. Jana kocha wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’ ameita kikosi cha wachezaji 28 kitakachoingia kambini Juni 2 kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Afrika Kusini (Bafana Bafana) na mashindano…

Read More