
Singida Black Stars katikati ya mtego
MICHUANO ya Kombe la Shirikisho (FA), imefikia patamu ambapo tumeshuhudia timu mbili zikikata tiketi ya kucheza fainali, ikianza Yanga iliyoichapa JKT Tanzania mabao 2-0, kisha Singida Black Stars ikafuzu pia kibabe kwa kuicharaza Simba 3-1. Ushindi wa Singida ni wa kisasi baada ya kikosi hicho kupoteza mechi mbili za Ligi Kuu Bara, ikianza na kuchapwa…