Swissport Tanzania yatangaza faida ya Sh8.6 bilioni

Dar es Salaam. Kampuni ya huduma za usafiri wa anga nchini Tanzania, Swissport Tanzania PLC, imetangaza kupata faida kabla ya kodi ya Sh8.6 bilioni kwa mwaka wa fedha uliomalizika Desemba 31, 2024. Hayo yamebainishwa na Kaimu Ofisa Mtendaji Muu wa Swissport Tanzania PLC, Shamba Mlanga  katika Mkutano Mkuu wa 40 wa mwaka wa wanahisa uliofanyika…

Read More

Kwa nini mzazi uwaze adhabu kila wakati?

Wazazi wengi hutumia adhabu kama nyenzo muhimu ya malezi. Tunapozungumzia adhabu tunamaanisha chochote kinachomsababishia mtoto maumivu kama matokeo ya kosa alilofanya. Unapomfinya mtoto, kwa mfano, unapomchapa, unapomtenga na kumkasirikia, unapompa kazi ngumu kumuumiza kama matokeo ya kosa lake, hapo unakuwa umemuadhibu. Upande mwingine wa adhabu ni kumsababishia maumivu kwa kumnyang’anya kile unachojua anakifurahia. Mfano, unapomzuia…

Read More

TUONGEE KIUME: Aibu ilioje mwanaume anapokuwa chawa!

Kama ambavyo unapambana kuwaepusha watoto wako na mihadarati, ndivyo unavyotakiwa kukomaa kuhakikisha watoto wako wa kiume, hawavutiwi na tabia za aina mpya ya wanaume mjini, yaani wanaume chawa. Chawa ni wanaume ambao wanajipatia kipato kwa kusifia wanaume wengine, tena kwa kusifia kwa kujidhalilisha. Kwa mfano, kuna chawa mmoja wa kiume aliwahi kusema, kama angekuwa na…

Read More

Umuhimu wa mfumo wa kifedha katika familia

Mfumo wa kifedha katika familia ni mkusanyiko wa taratibu, uamuzi na mbinu zinazotumika kusimamia mapato, matumizi, akiba, uwekezaji na madeni katika ngazi ya kaya. Ingawa mara nyingi mfumo huu hupuuzwa au huchukuliwa kuwa wa kawaida, kwa hakika una nafasi ya msingi katika kuhakikisha ustawi wa kifamilia na kuchangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kijamii na…

Read More

Benki ya NBC Yampongeza Rais Samia kwa Tuzo ya Heshima ya Bunge, Yaahidi Ushirikiano Utekelezaji wa Miradi ya Kimkakati

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imempogeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kufutia tuzo maalum ya heshima aliyotunukiwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuthamini kazi kubwa na nzuri aliyofanya katika kuleta maendeleo nchini. Aidha, benki hiyo imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za Rais Samia kwa…

Read More

Wanandoa acheni huu ‘umbumbumbu’ | Mwananchi

Kisa kifuatacho kinafupisha tutakayodurusu hasa umbumbumbu, ujinga na unyama wa jinsia. Huko Kunduz, Afghanistan, mwaka 2011, (CNN, 2012), Sher Mohamed, 29, akisaidiana na mama yake mzazi Wali Hazrata, alimuua mkewe kwa sababu alimzalia watoto wa kike watatu. Hivyo, adhabu ya ‘kosa’ la kutozaa watoto wa kiume kwa huyu bwana na familia yake ni kifo! Kwa…

Read More

Makosa tunayofanya wazazi kwa watoto

“Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,” ni methali ya wahenga iliyojaa tafakari ya kina. Ukikaa na kufikiria malezi ya mtoto tangu kuzaliwa hadi anapokua mtu mzima, utagundua kuna matokeo makubwa mema au mabaya, yanayoanzia kwenye malezi. Ninasema hivi kwa sababu tabia za mzazi, nzuri au mbaya, mara nyingi hujionyesha pia kwa mtoto. Wataalamu wanathibitisha: mtoto hujifunza mengi kwa…

Read More