Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 237
Habari

BARRICK YAWEZESHA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA IRINGA KUPATA MAARIFA YA KUCHANGAMKIA FURSA KUPITIA KONGAMANO LA AIESEC

June 1, 2025 Admin

Msimamizi wa Mafunzo na Maendeleo wa Barrick nchini, Elly Shimbi (kushoto) akimpongeza mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mkwawa,Mussa Constantine baada ya kumkabidhi cheti cha ushiriki

Read More
Habari

Yajue matarajio manne yanayowaumiza wapenzi

June 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Bahati mbaya watu wengi leo hulalamika sana kuwa uhusiano na mapenzi, vimekuwa chanzo cha maumivu na masononeko tofauti na ilivyotarajiwa. Inajulikana  kwamba

Read More
Habari

CCM YATOA PONGEZI KWA RAIS SAMIA KUPEWA TUZO NA BUNGE

June 1, 2025 Admin
Read More
Michezo

Chama la Wana latenga mzigo bara

June 1, 2025 Admin

STAND United ‘Chama la Wana’ imesema baada ya kupenya katika mtoano (play off), ili kupanda Ligi Kuu Bara, kwa sasa ipo tayari kukutana na timu

Read More
Habari

Mapito ya kutibu majeraha ya ndoa

June 1, 2025 Admin

Ndoa ni taasisi takatifu na ya kipekee inayojengwa juu ya misingi ya upendo, uaminifu, heshima, mawasiliano na uvumilivu.  Hata hivyo, hata katika ndoa zenye msingi

Read More
Habari

Zaidi ya Wanariadha 6,000 Wameshiriki Mbio za Hisani Pugu Marathon 2025 Zilizodhaminiwa na Benki ya NMB

June 1, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya wanariadha 6,000, wameshiriki Mbio za Hisani za Pugu Marathon 2025 zilizodhaminiwa na Benki ya NMB zenye lengo la kuchangisha fedha

Read More
Michezo

Metacha aukubali mziki wa Mnigeria Singida

June 1, 2025 Admin

KIPA wa Singida Black Stars, Metacha Mnata amesema  mzunguko wa kwanza ulikuwa bora kwake akipata nafasi ya kucheza tofauti na raundi ya pili ambayo panga

Read More
Habari

Sababu mkwamo biashara saa 24 Kariakoo huu hapa…

June 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ruhusa ya Serikali kwa wafanyabiashara kufanya shughuli zao kwa saa 24 Dar es Salaam imefanikiwa kwa biashara chache pekee, huku nyingi zikiendelea

Read More
Habari

MADEREVA WA MAGARI YA SERIKALI WATAKIWA KUWA WASHAURI WA VIONGOZI WAO KATIKA MASUALA YA USALAMA BARABARANI.

June 1, 2025 Admin

Madereva wa magari ya serikali pamoja na taasisi za umma Mkoani Songwe wamekumbushwa kuwa na nidhamu na kuongea na barabarani kwa kuzingatia sheria za usalama

Read More
Michezo

Mbeya City yampigia hesabu Maseke

June 1, 2025 Admin

KIPA Wilbol Maseke anayemaliza mkataba wake na KMC, anahusishwa kutakiwa na Mbeya City, ili kuongeza nguvu kwa ajili ya msimu ujao baada ya kupanda daraja,

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 236 237

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.