BARRICK YAWEZESHA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA IRINGA KUPATA MAARIFA YA KUCHANGAMKIA FURSA KUPITIA KONGAMANO LA AIESEC

Msimamizi wa Mafunzo na Maendeleo wa Barrick nchini, Elly Shimbi (kushoto) akimpongeza mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mkwawa,Mussa Constantine baada ya kumkabidhi cheti cha ushiriki wa kongamano hilo,wengine pichani ni Afisa Uhusiano wa Chuo Kikuu cha Iringa,Fanleck John, wa pili kutoka kulia ni Rais wa AIESEC Vicent Manira na Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi…

Read More

Yajue matarajio manne yanayowaumiza wapenzi

Dar es Salaam. Bahati mbaya watu wengi leo hulalamika sana kuwa uhusiano na mapenzi, vimekuwa chanzo cha maumivu na masononeko tofauti na ilivyotarajiwa. Inajulikana  kwamba uhusiano ni sehemu ya watu kufurahia, kuwa na vicheko na amani wakati wote. Pamoja na ukweli huu, bado pia tafiti zinaonyesha kwamba baadhi ya mazingira yanayosababisha maumivu na migongano kwenye…

Read More

Chama la Wana latenga mzigo bara

STAND United ‘Chama la Wana’ imesema baada ya kupenya katika mtoano (play off), ili kupanda Ligi Kuu Bara, kwa sasa ipo tayari kukutana na timu yoyote huku ikitangaza dau nono kwa wachezaji wa timu hiyo iwapo watafanikiwa kuirejesha kwenye ligi hiyo. Chama hilo la Shinyanga lililowahi kutamba Ligi Kuu misimu mitano nyuma, lilimaliza nafasi ya…

Read More

Mapito ya kutibu majeraha ya ndoa

Ndoa ni taasisi takatifu na ya kipekee inayojengwa juu ya misingi ya upendo, uaminifu, heshima, mawasiliano na uvumilivu.  Hata hivyo, hata katika ndoa zenye msingi imara zaidi, migogoro, makosa, na majeraha hayaepukiki.  Maisha ya pamoja huleta changamoto nyingi kutoka tofauti za tabia, matarajio, hadi matukio ya maumivu makubwa kama usaliti, uongo, kutojali, au kutelekezwa kihisia. Lakini…

Read More

Zaidi ya Wanariadha 6,000 Wameshiriki Mbio za Hisani Pugu Marathon 2025 Zilizodhaminiwa na Benki ya NMB

Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya wanariadha 6,000, wameshiriki Mbio za Hisani za Pugu Marathon 2025 zilizodhaminiwa na Benki ya NMB zenye lengo la kuchangisha fedha kusaidia maeneo yenye uhitaji mkubwa katika jamii lakini pia kuendeleza Kituo cha Hija kilichopo Pugu jijini Dar es Salaam. Mbio hizo za Pugu Marathon ambazo huandaliwa na Kanisa Katoriki Jimbo…

Read More

Metacha aukubali mziki wa Mnigeria Singida

KIPA wa Singida Black Stars, Metacha Mnata amesema  mzunguko wa kwanza ulikuwa bora kwake akipata nafasi ya kucheza tofauti na raundi ya pili ambayo panga pangua ni Obasogie Amas, raia wa Nigeria anayehusishwa huenda akatua Yanga 2025/26. Pamoja na kukosa nafasi ya kucheza mzunguko wa pili, Metacha amesema anatumia muda mwingi kufanya mazoezi na kujiweka…

Read More

Sababu mkwamo biashara saa 24 Kariakoo huu hapa…

Dar es Salaam. Ruhusa ya Serikali kwa wafanyabiashara kufanya shughuli zao kwa saa 24 Dar es Salaam imefanikiwa kwa biashara chache pekee, huku nyingi zikiendelea na utaratibu wa zamani, Mwananchi imebaini. Dhamira ya Serikali kuruhusu hilo, imelenga kuimarisha uchumi wa mkoa, kuongeza mapato ya Serikali, kutoa fursa za ajira kwa wananchi, lakini kuifanya Dar es…

Read More

MADEREVA WA MAGARI YA SERIKALI WATAKIWA KUWA WASHAURI WA VIONGOZI WAO KATIKA MASUALA YA USALAMA BARABARANI.

Madereva wa magari ya serikali pamoja na taasisi za umma Mkoani Songwe wamekumbushwa kuwa na nidhamu na kuongea na barabarani kwa kuzingatia sheria za usalama barabarani ikiwa ni pamoja na kuwa wa shauri wa viongozi wanaowaendesha juu ya masuala ya usalama barabarani ili kupunguza ajali zinazoweza kuepukika ikiwa ni pamoja na kulinda usalama wa watumiaji…

Read More

Mbeya City yampigia hesabu Maseke

KIPA Wilbol Maseke anayemaliza mkataba wake na KMC, anahusishwa kutakiwa na Mbeya City, ili kuongeza nguvu kwa ajili ya msimu ujao baada ya kupanda daraja, ikimaliza nafasi ya pili katika Ligi ya Championship. Maseke hadi sasa hajaruhusu bao katika mechi tatu na hakuwa na nafasi ya kucheza mara kwa mara, amekiri mkataba wake utaisha mwisho…

Read More