UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YA WAVULANA BUNGE WAZINDULIWA
………… Na Ester Maile Dodoma Bilioni tatu zitatumika katika ujenzi wa sekondari ya wavulana bunge katika kata ya kikombo mkoani Dodoma kilomita moja kutoka shule ya sekondari ya wasichana bunge. Ameyabainisha hayo leo 26 June 2025 jijini Dodoma Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson wakati akizindua ujenzi huo kata…