DKT BITEKO MGENI RASMI NISHATI BONANZA 2025*

 :::::: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake litakalofanyika jumamosi Juni 28, 2025 jijini Dodoma. Akizungumzia maandalizi ya Bonanza hilo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati, Bi. Neema Mbuja amesema kuwa, Nishati Bonanza litafanyika kwenye…

Read More

Nderemo na vifijo vyatawala Samia akilifunga Bunge

Dodoma. Ni hotuba iliyosheheni utekelezaji wa sekta mbalimbali. Ndivyo unavyoweza kusema kuhusu hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 ambalo litavunjwa rasmi Agosti 3, 2025. Hotuba ya Rais Samia ya jumla ya saa 2 na dakika 47 ndani ya ukumbi wa Bunge ilikuwa ikikatishwa mara nyingi kwa makofi ya…

Read More

Serikali Yajenga Vituo 472 vya Polisi Hadi Ngazi ya Kata

Na Emmanuel Mbatilo, Michuzi Tv SERIKALI imeendelea kuliimarisha jeshi la polisi kwa kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza miundombinu, ambapo vituo vya polisi 472 vimejengwa hadi ngazi ya kata na shehia. Ameyasema hayo leo Juni 27, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati akitoa hotuba ya kuhitimisha shughuli za…

Read More

Aziz KI amtaja Pacome Marekani

WAKATI timu anayoichezea sasa ya Wydad Casablanca ya Morocco ikiaga fainali za Kombe la Dunia la Klabu, kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki amevunja ukimya akazungumza na Mwanaspoti kutokea Marekani. Unaambiwa kwamba mchezaji huyo ambaye aliondoka Yanga akiwa na faida nyingi ikiwamo kumuoa binti mrembo wa Kitanzania, mwanamitindo Hamisa Mobetto, kaiambia Mwanaspoti kwamba kuna jambo ambalo…

Read More

YAS, WATU TANZANIA WATANGAZA NJIA MPYA YA KUMILIKI SIMU JANJA

 :::::::  Kampuni ya mawasiliano ya YAS, kwa kushirikiana na Watu Tanzania kupitia huduma ya Watu Simu, imetangaza ushirikiano wenye lengo la kurahisisha upatikanaji wa simu janja kwa wananchi wa kawaida nchini kote.  Mpango huu mpya unawawezesha Watanzania kumiliki simu janja kwa malipo nafuu kupitia mtandao wa maduka ya YAS na Mixx Express. Akizungumza wakati wa…

Read More

Kishindo cha Samia | Mwananchi

Dar/Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amelihutubia Bunge la 12 akihitimisha shughuli zake kwa kuzungumzia mambo mbalimbali yaliyotekelezwa na Serikali yake, yakiwamo yanayohusu Uchaguzi Mkuu, Katiba mpya na maendeleo ya kiuchumi.   Samia katika hotuba ya leo Juni 27, 2025 iliyodumu kwa saa 2: 47 ametoa maelekezo kuhusu matukio ya watu kupotea na deni la Serikali….

Read More

Hamdi ashtukia jambo Yanga mapema

KUCHEZA mechi nne za mashindano ndani ya kipindi cha takribani siku 11, imeonekana kuwa ni changamoto kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi. Hata hivyo, kocha huyo amesema anapambana na hali hiyo kwani hana namna ya kufanya zaidi ya kuzicheza mechi hizo na kufanikisha malengo. Hamdi ameyasema hayo kuelekea mchezo wa fainali ya Kombe la…

Read More