Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 25
Habari

Rais Samia Apongeza Bunge la 12 kwa Mchango wa Kisheria na Kisera

June 28, 2025 Admin

Na Emmanuel Mbatilo, Michuzi Tv Serikali imeendelea kutimiza ipasavyo wajibu wake kwa mhimili wa dola wa Kutunga Sheria kwani katika kipindi cha uhai wa Bunge

Read More
Michezo

Hamdi aingiwa ubaridi fainali FA kisa kikosi cha Singida BS

June 28, 2025 Admin

KUCHEZA mechi nne za mashindano ndani ya kipindi cha takribani siku 11, imeonekana kuwa ni changamoto kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi. Hata hivyo,

Read More
Habari

DKT BITEKO MGENI RASMI NISHATI BONANZA 2025*

June 28, 2025 Admin

 :::::: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake

Read More
Habari

Nderemo na vifijo vyatawala Samia akilifunga Bunge

June 28, 2025 Admin

Dodoma. Ni hotuba iliyosheheni utekelezaji wa sekta mbalimbali. Ndivyo unavyoweza kusema kuhusu hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuhitimisha shughuli za Bunge la 12

Read More
Habari

Serikali Yajenga Vituo 472 vya Polisi Hadi Ngazi ya Kata

June 28, 2025 Admin

Na Emmanuel Mbatilo, Michuzi Tv SERIKALI imeendelea kuliimarisha jeshi la polisi kwa kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza miundombinu, ambapo vituo vya polisi 472 vimejengwa

Read More
Michezo

Aziz KI amtaja Pacome Marekani

June 28, 2025 Admin

WAKATI timu anayoichezea sasa ya Wydad Casablanca ya Morocco ikiaga fainali za Kombe la Dunia la Klabu, kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki amevunja ukimya akazungumza

Read More
Habari

YAS, WATU TANZANIA WATANGAZA NJIA MPYA YA KUMILIKI SIMU JANJA

June 28, 2025 Admin

 :::::::  Kampuni ya mawasiliano ya YAS, kwa kushirikiana na Watu Tanzania kupitia huduma ya Watu Simu, imetangaza ushirikiano wenye lengo la kurahisisha upatikanaji wa simu

Read More
Habari

Kishindo cha Samia | Mwananchi

June 28, 2025 Admin

Dar/Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amelihutubia Bunge la 12 akihitimisha shughuli zake kwa kuzungumzia mambo mbalimbali yaliyotekelezwa na Serikali yake, yakiwamo yanayohusu Uchaguzi Mkuu, Katiba

Read More
Habari

Mahakama ya Afrika yaipa Rwanda siku 90 kujibu madai ya Congo ya kufadhili waasisi wa M23

June 28, 2025 Admin

Na Seif Mangwangi, Arusha MAHAKAMA ya Afrika ya Watu na Haki za Binaadam (AfCPHR), imejiridhisha kwamba inayouwezo na mamlaka ya kusikiliza kesi ya Jamhuri ya

Read More
Michezo

Hamdi ashtukia jambo Yanga mapema

June 28, 2025 Admin

KUCHEZA mechi nne za mashindano ndani ya kipindi cha takribani siku 11, imeonekana kuwa ni changamoto kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi. Hata hivyo,

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 24 25 26 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.