Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 28
Habari

DKT PHILIP MPANGO AFANYA MANZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA BENKI YA AFREXIM

June 26, 2025 Admin

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa

Read More
Habari

Hizi hapa njia kupambana na selimundu

June 26, 2025 Admin

Dar es Salaam. Utolewaji wa elimu, ugunduzi wa mapema, matibabu na utolewaji wa dawa kwa wakati ni miongoni mwa njia za kupambana na ugonjwa wa

Read More
Habari

Kongamano la ‘ Green Finance ‘la CEOrt Roundtable lafanyika Dar

June 26, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu Jukwaa la Wakurugenzi Wakuu wa Makampuni Tanzania (CEOrt Roundtable) lililowakutanisha viongozi wakuu kutoka sekta ya fedha, sekta binafsi, na taasisi za maendeleo

Read More
Habari

Serikali yajitosa huduma za teksi mtandao

June 26, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ni rasmi Serikali imejitosa kwenye huduma za teksi mtandao, hivi ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kufuatia Shirika la Posta Tanzania kuingia mkataba na kampuni

Read More
Kimataifa

Kuongezeka kwa mahitaji ya cobalt mafuta yanayoendelea shida ya kibinadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – Maswala ya Ulimwenguni

June 26, 2025 Admin

Watu waliohamishwa ndani (IDP) wanaoishi katika Kambi ya Roe katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mikopo: Picha ya UN/Es mondeer Debebe na Juliana White (Umoja

Read More
Habari

Kilichojili kesi ya kanisa kumnyang’anya zawadi mtoto wa Askofu Sepeku

June 26, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, imepanga Julai 18, 2025 kuendelea na usikilizwa katika kesi ya ardhi iliyofunguliwa na mtoto wa Askofu John

Read More
Habari

Mwenge wa Uhuru kukagua miradi 52 ya Sh84.9 bilioni Kilimanjaro

June 26, 2025 Admin

Moshi. Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kukimbizwa katika Mkoa wa Kilimanjaro kuanzia Juni 28 hadi Julai 4, 2025, ambapo utapitia miradi 52 ya maendeleo yenye thamani

Read More
Habari

ATF yafundwa kupata fedha za afua za Ukimwi

June 26, 2025 Admin

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi ameielekeza Bodi ya Mfuko wa Udhamini wa Ukimwi (ATF) kubuni mbinu

Read More
Habari

Zitto: Kura imepoteza thamani, ACT Wazalendo tunajipanga kulinda ushindi

June 26, 2025 Admin

Kigoma. Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kura ya wananchi imepoteza thamani katika chaguzi tatu zilizopita. Amezitaja kuwa ni pamoja na ule wa

Read More
Habari

CCM Tanga yaapa kuwakata wagombea wala rushwa

June 26, 2025 Admin

Tanga. Wakati joto la uchaguzi mkuu 2025 likizidi kupamba moto, Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga kimeweka wazi msimamo wake kuwa kitakata majina ya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 27 28 29 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.