Waeleza namna mbinu za kukabiliana na tembo vilivyowasaidia

Singida. Wananchi waishio maeneo yenye changamoto ya wanyama wakali wamesimulia namna wanavyokabiliana na wanyama hao ikiwemo Tembo kupitia mafunzo waliyoyapata. Mafunzo hayo yaliyotolewa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kupitia utekelezaji wa mradi wa kupambana na Wanyama Wakali na Waharibifu (IWT) unaotekelezwa na Wizara ya Maliasili na Utalii katika ikolojia ya Ruaha-Rungwa….

Read More

NBAA YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI, 2025

Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) katika kikao chake cha 198 kilichofanyika chini ya Mwenyekiti wake CPA. Prof. Sylvia S. Temu imeidhinisha matokeo ya mitihani ya 101 ya Bodi kwa Watahiniwa waliofanya mitihani hiyo iliyofanyika mwezi Mei 2025 katika ngazi mbalimbali za masomo ya Bodi hiyo ya…

Read More

Dk Biteko: Malori yazingatie viwango vya usalama barabarani kwa manufaa ya Taifa

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ametoa wito kwa wasafirishaji wote wa mizigo nchini kuhakikisha wanazingatia viwango vya juu vya usalama barabarani. Amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha kuwa malori yote yanayofanya shughuli za usafirishaji yamewekewa vifaa muhimu vya usalama, ikiwemo mifumo ya GPS, ili kufuata kikamilifu miongozo na kanuni…

Read More

Sekta tisa kuibeba Dira ya Taifa 2050

Dar es Salaam. Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 (Dira 2050) imebainisha sekta tisa zenye fursa za mageuzi ya kuchochea kufikiwa kwa malengo ya Taifa na kuivusha Tanzania miaka 25 ijayo. Dira 2050 imewasilishwa leo Alhamisi, Juni 26, 2025 bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo,…

Read More