Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 29
Habari

TANZANIA YAINGIA KINYANG’ANYIRO KATIKA VIPENGELE 50 TUZO ZA WORLD TRAVEL AWARD.

June 26, 2025 Admin

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe Dkt Pindi Chana amesema kuwa Tanzania imepewa heshima ya kuwa mwenyeji katika tukio la

Read More
Habari

Waeleza namna mbinu za kukabiliana na tembo vilivyowasaidia

June 26, 2025 Admin

Singida. Wananchi waishio maeneo yenye changamoto ya wanyama wakali wamesimulia namna wanavyokabiliana na wanyama hao ikiwemo Tembo kupitia mafunzo waliyoyapata. Mafunzo hayo yaliyotolewa na Shirika

Read More
Habari

NBAA YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI, 2025

June 26, 2025 Admin

Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) katika kikao chake cha 198 kilichofanyika chini ya Mwenyekiti wake CPA.

Read More
Habari

Dk Biteko: Malori yazingatie viwango vya usalama barabarani kwa manufaa ya Taifa

June 26, 2025 Admin

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ametoa wito kwa wasafirishaji wote wa mizigo nchini kuhakikisha wanazingatia viwango vya

Read More
Habari

Waziri Lukuvi Aitaka Bodi ya ATF Kufikia Malengo Kutokomeza UKIMWI 2030

June 26, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu Serikali inategemea Bodi ya Mpya ya Mfuko wa Udhamini wa Kudhibiti UKIMWI italeta fikra mpya, mbinu mpya, na weledi wa hali ya

Read More
Habari

Shamrashamra uchukuaji, urejeshaji fomu za ubunge, udiwani zapigwa marufuku

June 26, 2025 Admin

Rukwa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limetoa onyo kali kwa mgombea yeyote atayechochea vurugu au kuwa na shamrashamra za matarumbeta, ngoma, wapambe na pikipiki

Read More
Habari

SBL YAKABIDHI MRADI WA MAJI KWA WAKAZI 14,000 WA KWADELO, WILAYA YA KONDOA

June 26, 2025 Admin

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), kwa kushirikiana na shirika la Africa Community Advancement Initiative (Africai), imekamilisha na kuzindua rasmi Mradi wa Maji wa Kwadelo

Read More
Habari

UCHAMBUZI WA MJEMA: Hongera Bunge la 12 kwa maswali 20,300 ila deni hili mmetuacha nalo

June 26, 2025 Admin

Leo nimemsikiliza Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akitoa hotuba ya kuaga Bunge la 12 na kuelezea mafanikio lukuki ikiwamo maswali zaidi ya 20,300 yakiulizwa

Read More
Habari

Sekta tisa kuibeba Dira ya Taifa 2050

June 26, 2025 Admin

Dar es Salaam. Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 (Dira 2050) imebainisha sekta tisa zenye fursa za mageuzi ya kuchochea kufikiwa kwa malengo ya Taifa

Read More
Habari

Uchimbaji Visima vya Gesi Asilia Mtwara: Historia Mpya Kuandikwa

June 26, 2025 Admin

Visima vitatu vya gesi asilia vinatarajiwa kuchimbwa katika Kitalu cha Mnazi Bay kilichopo Mkoani Mtwara, ikiwa ni miaka kumi (10) tangu kisima cha mwisho kuchimbwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 28 29 30 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.