Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe Dkt Pindi Chana amesema kuwa Tanzania imepewa heshima ya kuwa mwenyeji katika tukio la
Month: June 2025

Singida. Wananchi waishio maeneo yenye changamoto ya wanyama wakali wamesimulia namna wanavyokabiliana na wanyama hao ikiwemo Tembo kupitia mafunzo waliyoyapata. Mafunzo hayo yaliyotolewa na Shirika
Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) katika kikao chake cha 198 kilichofanyika chini ya Mwenyekiti wake CPA.

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ametoa wito kwa wasafirishaji wote wa mizigo nchini kuhakikisha wanazingatia viwango vya

Na Mwandishi Wetu Serikali inategemea Bodi ya Mpya ya Mfuko wa Udhamini wa Kudhibiti UKIMWI italeta fikra mpya, mbinu mpya, na weledi wa hali ya

Rukwa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limetoa onyo kali kwa mgombea yeyote atayechochea vurugu au kuwa na shamrashamra za matarumbeta, ngoma, wapambe na pikipiki

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), kwa kushirikiana na shirika la Africa Community Advancement Initiative (Africai), imekamilisha na kuzindua rasmi Mradi wa Maji wa Kwadelo

Leo nimemsikiliza Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akitoa hotuba ya kuaga Bunge la 12 na kuelezea mafanikio lukuki ikiwamo maswali zaidi ya 20,300 yakiulizwa

Dar es Salaam. Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 (Dira 2050) imebainisha sekta tisa zenye fursa za mageuzi ya kuchochea kufikiwa kwa malengo ya Taifa

Visima vitatu vya gesi asilia vinatarajiwa kuchimbwa katika Kitalu cha Mnazi Bay kilichopo Mkoani Mtwara, ikiwa ni miaka kumi (10) tangu kisima cha mwisho kuchimbwa